YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Sunday 3 March 2013

Matukio punde yanapojiri:Uchaguzi Kenya



 4 Machi, 2013 - Saa 05:31 GMT
Wapiga kura tayari kwa foleni katika mtaa wa Kibera
Hii leo wakenya wanapiga kura katika uchaguzi wa kihistoria chini ya katiba mpya. Foleni tayari zimeanza kushuhudiwa katika vituo.
Kinyang'anyiro ni kikali kati ya Muungano wa Cord na Jubilee wa Raila Odinga na Uhuru Kenyatta.
Kwenye ukurasa huu tutakupasha matukio kila yanapojiri hadi upigaji kura utakapokamilika mwendo wa saa kumi na moja jioni.
Unaweza kututumia maoni yako kuhusu uchaguzi unavyokenda kwenye ukursa awetu wa Bofyafacebook

08:30 @smugera anasema kwamba kupiga kura kunachukua takriban dakika 12 minutes. #bbcnewsday
08:25 Hassan Majid pia mwandishi wa BBC anasema kuwa polisi wamepata mwili mmoja wa mtu aliyeuawa na mwingine kujeruhiwa kwa kukatwa panga katika eneo la Moshomoroni

08:24 Mwandishi wa BBC mjini Mombasa, Karen Allen anasema kuwa polisi wamepata maiti za polisi wanne ambao wameuawa katika eneo la eneo la Changamwe , Kaskazini mwa Mombasa. Hana taarifa zaidi kwa sasa

08:16:Frawaso Kimutai kupitia Bofyafacebook yuko katika kituo cha Menengai mjini Nakuru kura ilianza kupigwa saa moja asubuhi na foleni ni ndefu ingawa inakwenda polepole mwendo wa kobe
08:15: Fatma Sanbur yuko mtaani Kibera na anasema watu ni wengi sana lakini hakuna mbinu ya kupanga foleni. Anasema watu wanapangwa kwa orodha ya majina na hata baada ya saa moja tangu waanza kupangga foleni saa kumi na moja, shughuli yab upigaji kura ilikuwa haijaanza

07:11 James Mwangi: Kwenye ukurasa wa Facebook wa Bofyabbcswahilianasema yuko kwenye foleni na habanduki
07:14 Hison Nyakundi : Yuko mjini Eldoret kwa Foleni tayari kupiga kuraBofyabbcswahili
07:24 Kips Oscar: Kupitia Facebook yuko katika kaunti ya Marsabit anasema upigaji kura unaendelea bila wasiwasi na kuwa wanatarajia shughuli itakamilika kwa muda bila wasiwasi
Usalama ulidhibitiwa asubuhi na mapema wakati upigaji kura ulipoanza
07:28: Mgombea mwenza wa Uhuru Kenyatta, William Ruro amepiga kura mjini Eldoret

07:32: William Ruto anasema kuwa anajivunia uchaguzi wa Kenya unafanyika kwa amani licha ya dukuduku la wengi. Anasema anawataka wapinzani kukubali matokeo ya uchaguzi vyovyote matokeo hayo yatakavyokuwa.

07:43 Upiga kura bado haujaanza katika baadhi ya sehemu za Kenya. Wapiga kura wanalalamika kuwa katika vituo kadhaa tarakilishi zimegoma na kwa hivyo watasubiri muda kabla ya kupiga kura zao

07:47 Eco Seyar Papa akiwa mjini Nairobi anasema Wakenya wamejitokeza kwawingi jijini Nairobi katika eneo la Dagoreti. Foleni zilianza kupigwa kuanzia saa tisa usiku tangu kuanzishwa kwa demokirasia ncini Kenya watu waeneo hili hawajawai kujitokeza kwa mapenzi kama inavyo onekana.
07:50 Mwandishi wa BBC Ann Mawathe yuko mjini Kisumu na anasema ameona foleni ndefu sana watu wakiwa hamasa kupiga kura. Wamepiga foleni tangu saa nane usiku.

Foleni ya watu mjini Mombasa
07:52 Mombasa eneo la Kaloleni mpiga kura mmoja amesema hadi kufikia sasa upigaji kura haujaanza kwani maafisa wa tume ya uchaguzi bado hawajawasili na vifaa vyao

PICHA ZA SEHEMU YA MABADILIKO YA KIWANJA CHA NDEGE MWANZA.

0
.
Huu ni mlango wa kuingilia sehemu ya kusubiria mizigo ya abiria waliokuja na ndege.
.
Sehemu ya kusubiria mizigo, hapa pia ndio watu wanapatumia kutokea na kusubiriwa na waliokuja kuwapokea.
.
.
.
Sehemu ya kusubiria mizigo kwa nje, hapo kwenye baraza ambako kuna watu wengi ndio sehemu ya kutoka abiria ukishachukua mzigo.
.
Ukiwa unakwenda kupanda ndege, hapa ndio unaanzia… zamani ilikua ukiwa unasafiri na anaewasili mnapishana sehemu moja lakini kwa sasa wamepatenganisha, hamuonani kabisa.
.
Sehemu ya kusubiri kwa wanaoondoka, hapa ni kwa nje.

TAARIFA KUHUSU LILE KANISA LA MASHOGA NIGERIA.

0
.
.
Ikiwa ni miezi mitatu tu imepita toka nchi nyingine ambayo ni maarufu Afrika (Kenya) kukumbwa na headlines za kutosha kuhusu raia wake wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja kupeana tuzo hadharani na kufanya sherehe, leo tena headlines zimehamia Nigeria.
Ndani ya miaka mitano iliyopita huko Nigeria kulikua na Kanisa ambalo lina waumini wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja tu liitwalo House of Rainbow lakini Kanisa hilo lilipotea baada ya kushambuliwa na wakazi wa Lagos ambao hawapendezwi na ishu za ushoga na usagaji.
Tarehe 3 March 2013 Mtandao maarufu wa Nigeria wa TFJ umeripoti kwamba kanisa hilo limerejea tena kwa kishindo na kuendelea na huduma zake.
Ni kanisa ambalo mwanzilishi wake ni mchungaji Mnigeria ambae ni shoga Rowland Jide Macaulay na imefahamika sasa hivi kwamba kanisa hilo lipo Ghana na Malawi, France, Netherlands, Cote d’Ivoire na Sierra-Leone.

SSTORY KUBWA ZA MAGAZETI YA LEO 4 MARCH 2013


0
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

namna ya kuandika wasifu wa kampuni.







  • Jina: Goodlove Herman
    Wadhifa: Mkurugenzi
    Simu: +255712356455
    Tuvuti: jinalako.co.tz
    Anwani ya Posta: SLP 10000, Arusha, Tanzania
    Location: Arusha
    Nchi: Tanzania
    Mkoa: Afrika Mashariki

    weka hapa kama ni kampuni au shirika nk  (kwa sababu ya faragha kupata kibali cha maandishi kutoka kwa wamiliki wa kampuni au unaweza orodhesha kulingana na uzoefu wao, elimu na jinsia nk unaweza baadaye kuwasilisha katika binafsi kwa walengwa orodhesha ya majina)

    weka hapa

    weka jina rasmi la usajili au jina linalotumika hapa

    weka hapa

    weka hapa

    Ardhi
    gari
    ofisi
    mashine
    dhamani za ofisi
    nk

    orodhesha hapa
    Bodi ya wakurugenzi = 7 
    washauri wa kudumu= 3
    maafisa wa kudumu= 4 
    Wafanyakazi wasaidizi = 5 
    washauri shirikishwa= 2 
    washauri wa muda= 1
    wafanyakazi wa muda = 3 
    Kazi Kuu za Kampuni 
    Orodhesha yao hapa

    Orodhesha yao hapa

    Orodhesha yao hapa

    Orodhesha yao hapa

    Orodhesha kazi umefanya mafanikio hapa

    orodhesha ya angalau wateja waliofurahia huduma ya kampuni watatu (3)
    taja marefarii wengine wanaojulikana
    Mfano wa marefarii wazuri ni
    Kutoka katika uanachama wako
    Ushirikiano na taasisi zingine nk

MAMBO MATANO MUHIMU YA KUZINGATIA KUANZISHA KAMPUNI


The 5 Most Important Things Your Business Plan Should Contain (that investors want to read about)

by Dennis Lowery on August 14, 2008 · 2 comments
Here are the 5 most important aspects of the business that investors want to read about in your business plan:
1) That The Company Has Focus
The company has clearly defined its business and can state it in a single strong sentence that says it all. Yes, your plan probably will have a more expansive description in its executive summary but you need to open your plan with that one simple declaration to show the clarity of your vision for the business.
2) That The Market Has Potential
The company has a large existing market for its products and services. If your company does not have significant growth potential then it is probably not going to be of interest to many equity investors. If you are shooting for debt based capital that may not matter most to them (market stability would be though so keep that in mind if your plan is geared towards raising debt based capital); but to an equity investor growth is of paramount importance and the size of the market signifies the opportunity potential.
3) That The Company Has Specific Solutions For Their Market
The company has identified what its customers most need and has created a value proposition for them to make it a simple “buy” decision. If there is nothing unique or distinct about your company’s products/services then you do not have a defensible position in your market. Defensibility of your market position is of key importance to investors and funding sources.
4) That Customer’s Show A Readiness & Willingness To Buy From The Company
In an ideal situation, the company’s customers have a recurring need for their products and/or services, with a reasonable sales-cycle and opportunities for premium up sell of additional products & services.
If you don’t have customers ready and willing to buy now … then that does not bode well for interest from most investors and funding sources. If your market is a long-term development type of proposition then your company will need to prove that it is truly a disruptive business model that will have people flock to it once it is functional. Its not so much “if you build it will they come” but rather “if you build it will they buy?”
5) That The Company’s Main Dynamics Are Strong
What are the main dynamics of a company? Simply put it is two components: a sellable product/service and a management team that can run the business well. Investors and funding sources want to know that the company has created unique solutions superior to their competition. And that the management team consists of smart people able to deliver products/services to their customers, control expenses and make a profit … repeatedly.
* * *
If you create your business plan to address the above; then you are ahead of what most people end up with in their business plan. Weaknesses (dilution) caused by putting too much of the wrong content and not enough of what mattes most, kills interest in a company’s plan. It’s the answers to these 5 important aspects that investors and funding sources find most interesting. How well you answer them will affect the outcome of your search for capital.
In my next post I will get into how to use these 5 as your guide for creating (or revising) your business plan to make it an optimal document that says what it should. Be sure to watch for:
How To Really Get Your Business Plan Read (by investors & funding sources)! Learn how to create the type of business plan that investors and funding sources will enjoy reading and will take action on.
Dennis Lowery
Adducent, Inc.

Tuesday 26 February 2013

SASA JAY Z, USHER NA LUDA SI NDIO HAWA HAPA. WATISHA KATIKA SHOO YA SOSO DEF


0
So so Def ni lebo mojawapo ya zilizowahi kupata heshima kwenye muziki duniani, ikiwa chini ya umiliki wa producer Jermain Dupri weekend iliyopita ilifanya bonge la party ya kutimiza miaka 20 ambapo mastaa kibao walizishika mic kwenye stage… akiwemo Jay Z, Usher, Luda, Lil Jon na wengine….. unaweza kutazama hizi video hapa chini.

.

.

.

.