Sunday 9 June 2013
JK AENDA KUMFARIJI MALKIA WA MIPASHO ( KHADIJA KOPA ) BAADA YA KUFIWA NA MUMEWE
Rais Dk. Jakaya Kikwete akimfariji Msanii wa taarabu Hadija Kopa nyumbani kwake mjini Bagamoyo jana kufuatia kifo cha Mumewe Marehemu Jaffari Ali Yusuf aliyefariki na kuzikwa wiki iliyopita.
Rais Dk. Jakaya Kikwete akiwafariji wanafamilia, ndugu jamaa na marafiki wa msanii maarufu wa taarabu na mjumbe wa Halmashauri Kuu Taifa CCM, Hadija Kopa kufuatia kifo cha mumewe Jaffari Ali Yusuf kilichotokea wiki iliyopita
Wa pili kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Ahmed Kipozi na (kulia) ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya taifa CCM, Ridhwani Kikwete.
AJALI MBAYA YATOKEA KIBAMBA MCHANA HUU NA KUJERUHI MADEREVA WOTE WAWILI
Gari dogo aina ya toyota double cabin ikiwa imepinduka vibaya baada ya kugongana uso kwa uso na gari ndogo aina ya Toyota Rav 4 maeneo ya kibamba muda huu.Mpaka tunaenda mitamboni haijafahamika kama kuna mtu amepoteza maisha
Hili ndio gari ndogo aina ya toyota double cabin iliyopinduka na kuumia vibaya baada ya kugongana na gari aina ya Rav 4 maeneo ya Kibamba muda huu
Hii ndio Rav 4 iliyogongana uso kwa uso na gari iliyopinduka muda huu maeneo ya kibamba na kujeruhi dereva wa Double cabin na Rav 4
Askari wa Usalama Barabara akisimamisha magari yaliyokuwa yakipita kwaajili ya tahadhari
M2 The P – Sijui ni nini kilichotutokea
Picha ya M2 the P na Marehem Ngwair, waliyopiga usiku wa dhahama
Msanii ‘M2 the P’ ambaye alikuwa na marehemu Albert “Ngwair” Mangweha nchini Afrika Kusini wakati rapper huyo anafariki na yeye kuzidiwa hadi kulazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi, afunguka kuhusu yaliyowakuta yeye na marehemu Ngwea
‘M2 the P’ ambaye awali naye aliripotiwa kuwa amefariki kabla ya taarifa hizo kukanushwa, alisema jana kuwa hadi sasa hajui nini kiliwatokea.
Msanii huyo alisema kwamba hakumbuki kilichotokea hadi wakazidiwa na kukimbizwa hospitali wakiwa hawajitambui. Alisema pia bado anajisikia anaumwa hadi sasa licha ya kuruhusiwa kutoka katika hospitali ya St. Hellen Joseph ya Afrika Kusini alikokuwa amelazwa.
DAKTARI ASAHAU PAMBA TUMBONI KWA MAMA ALIYEJIFUNGUA KWA UPASUAJI:MKASA MZIMA HUU HAPA:
Sunday, 9 June 2013
KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS 2013 RED CARPERT, CHEKI WATU WALIVYOTEKELEZEA
Salma Msangi
Zahir Zoro
Stamina
Izzo Biznes
Walter Chilambo
Quick Racka
Ben Pol
Asia Idarius na Mumewe
Makomando
Kala Jeremiah
Deo & Aneth Kushaba
Luiza
Lady Haha & Shadee
B12 & Dakota
Papa Misifa
Anna Pita
Sauda Mwilima
Barnaba
Mama mzazi wa marehemu Sharo Milionea n Kitale
Man Water
Jaq
Mboni Masimba "The Mboni Show"
Hamidu & Dulla
Da Week End Show Team
Mustafa & Deo
Perfect & Mwana Fa
Nickson & Bonge la Nyau
Dulla
Subscribe to:
Posts (Atom)