YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Tuesday 1 October 2013

HII KALI YA MWAKA..MWANAMKE AVUA NGUO KATIKA MAZISHI NA KUANZA KUCHEZA KATIKATI YA WAOMBOLEZAJI



Members of BMW clubs across South Africa came in numbers to the 
funeral of skilled spinner, Bongani Makhubo (40) of Soshanguve, Tshwane....

As the cars spun around in circles, spectators cheered.Then a young woman took off her pánties and began dancing in the middle of the spinning cars.But not everyone was pleased to see her waving her underweár in the air.John Lelaka said: "People are allowed to celebrate but not in a way that disturbs other people's peace."Bongani died last week after a short illness.



The drivers respected the family during the formal burial ceremony at Soshanguve Cemetery.After the funeral, they had a spinning competition.About 300 gusheshe engines roared and the smell of burning rubber filled the air at Spin City.

The funeral was attended by spinning clubs from Mpumalanga, Limpopo and Pretoria.Puff Selotela, chairman of the Botsotso Social Club, told Daily Sun: "This is a way of celebrating one of our own and honouring his love for the game of spinning."Spinning is not only a thug sport. We have attorneys, doctors and businessmen in our spinning clubs.

"We all do it for the love of it."Reikhutise Malala, a longtime friend of Bongani, said in his farewell message: "You taught me how to be humble and inspired me to venture into business. I will remember you for your charisma, bravery and passion. "It is sad when someone dies and you never have the chance to tell them the impact they made on your life."I guess life is too short and we all need to live while we can."


Saturday 28 September 2013

Magazeti ya leo September 28 2013


.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

Elizabeth Michael “Lulu” kuzungumza kwenye semina ya fursa leo hii ndani ya Mwanza


Elizabeth Michael “Lulu” kuzungumza kwenye semina ya fursa leo hii ndani ya Mwanza
Semina za Fursa Twenzetu ambazo hutangulia kabla show za Fiesta, leo hii inafanyika Mwanza. Lulu ni mmoja kati ya wazungumzaji katika semina ya Mwanza. Wazungumzaji wengine wanaotegemewa kuzungumza ni DPP of Clouds Media Group Mr Ruge Mutahaba,Mrisho Mpoto,Nikki wa Pili...
Read More

MAMBO YA LIKIZO YA VYUO....DENT AAMUA KUMTUMIA MPENZI WAKE PICHA ZA UTAMU NA KUAMBULIA KUZAGAA MTANDAONI


 

Katika kipindi hiki cha likizo ambapo vyuo vingi ni mapumziko, mwanafunzi mmoja mkazi wa dar es salaam wa chuo fulani hapa nchini amejikuta akijipiga picha za nusu uchi kwa malengo ya kumtumia boyfiend wake ambaye yupo mkoani nje ya dar es salaam.
 ILIKUAJE ZIKAVUJA?

RAY C AMZIMIKIA "ABDUL HAJI" SHUJAA WA WESTGATE ALIYE OKOA WATU WENGI KUTOKA MIKONONI MWA MAGAIDI



 

Abdul Haji ni miongoni mwa mashujaa ambao hawatasahaulika nchini Kenya kutokana na kuamua kuhatarisha maisha yao ili kuokoa watu waliokuwa wamekwama ndani ya jengo la Westagate baada ya kushambuliwa na Al-Shabaab Jumamosi iliyopita.


Tangu asimulie namna alivyopambana na magaidi hao, Haji ametokea kuwa kipenzi cha watu wengi hasa wasichana na mmoja wa watu aliowagusa ni Rehema Chalamila ambaye amesema anatamani mwanaume mjasiri kama yeye ambaye watazaa naye watoto.

“In love with ths Soldier!i want a soldier like him to marry me,” ameandika Ray C kwenye picha ya gazeti aliyoipost kwenye Instagram ikimuonesha Abdul Haji.

“I love You Abdul Haji,You are my Heroooooooo,” aliandika Ray C kwenye picha nyingine.

Kwenye picha nyingine Ray C aliongeza, “My soldier,My Prince,My Love….Love You Abdul Haji.”

Kijana huyo ni mtoto wa waziri wa zamani wa ulinzi nchini Kenya ambaye alienda kwenye mall hiyo baada ya kupata ujumbe kutoka kwa rafiki yake kuwa kaka yake alikuwa ndani ya Westgate wakati watu hao wenye silaha walipovamia.

Akiongea na NTV, Haji ambaye sio mwanajeshi, alisema alifundishwa kutumia bunduki na baba yake ili kulinda mifugo yao isiibiwe na wezi.


Ujuzi huo ulimsaidia Jumamosi hiyo kuwasaidia wafanyakazi wa Red Cross wafanye kazi yao kwa usalama kwa saa tatu na kusaidia kuokolewa kwa watu wafikao 1,000 nje ya mall hiyo.

SAKATA ZIMA LA MWANAMKE WA KITANZANIA ALIYEAMUA KUUGEUZA MWILI WAKE KUWA KITEGA UCHUMI HUKO UGHAIBUNI....



Ni  mwanamke  anayejulikana  kwa  jina  la  Florah Lymo  ambaye alijipatia  umarufu  mkubwa  baada  ya  kujitokeza  hadharani  na  kudai  kubakwa  na  mbunge  Lema....

Wengi  waliyaamini  madai hayo kutokana  na  ujasili  aliokuwa  nao wakati  akiieleza  dunia  kuhusu  tendo  la  ubakwaji  alilotendewa....

Hakika  jambo  usilolijua  ni  kama  usiku  wa  giza...Amini  usiami, mwanamke  huyu  hakubakwa  .Ujasili  wake ulikuwa  ni  mchezo  wa  kuigiza na  tayari  mtandao  huu  umefanikiwa  kupata  sehemu  ya  mchezo  huo ambao  ni  komedi  tupu.

Baada  ya  mchezo  huo  kukosa  mafanikio  na  hali  ya  maisha  kuwa  ngumu  kifedha, mtandao  huu umedokezwa kuwa   Florah  amejikuta  akiwa  ni mtumwa  wa  mwili  wake ndani  ya  nchi  za  watu....

Utumwa  huo  unadaiwa  kutokana  na  kitendo  cha  yeye  kuugeuza  mwili  wake  kuwa  kitega  uchumi..

Zifuatazo  ni  picha  chafu  za  mwanamke  huyo  ambazo  zimekuwa  zikitundikwa  katika  mtandao  wake  kwa  lengo  la kujiongezea  wateja....

PICHA  YA  KWANZA: <<  BOFYA  HAPA>>

PICHA  YA  PILI:         << BOFYA  HAPA >>

PICHA  YA  TATU:      << BOFYA  HAPA>>