YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Monday 25 August 2014

DI MARIA ATUA MAN UTD.

Hallow people...




BREAKING NEWZZ!! DE MARIA TO MAN U.

Kiungo hatari wa Man United tayari kashatua MAN U. Hivi sasa wanakamilisha vipimo vya mwisho tayari kashatambulishwa. SASA KAZI KWA VAN GAL.

EBOLA YAENDELEA KULITESA BARA LA AFRIKA, DRC: WATU WAWILI WAFA KWA EBOLA



Picha ya Maktaba ikimwonyesha mgonjwa wa Congo mwenye umri wa miaka 43 akiwa kituo cha wagonjwa wa Ebola Septemba 29,2007
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo imesema watu wawili wamekufa kutokana na ugonjwa wa Ebola, uliolipuka kaskazini-magharibi mwa nchi hiyo.
Hao ni wagonjwa wa kwanza wa Ebola kuripotiwa nje ya Afrika Magharibi tangu kuzuka kwa ugonjwa huo huko, ingawaje haijaeleweka wazi kama vifo vya watu hao vinahusiana na mlipuko wa Ebola katika nchi za Afrika Magharibi.
Kirusi cha Ebola

Kituo cha wagonjwa wa Ebola nchini Sierra Leone moja ya nchi zilizoathirika kwa ugonjwa huo Afrika Magharibi


Mpaka sasa watu 1,427 wamekufa kutokana na maambukizo ya virusi vya Ebola.
Shirika la Afya Duniani, WHO limesema kasi na kiwango cha milipuko hiyo hakijawahi kutokea hapo kabla.
Watu wanaokadiriwa kufikia 2,615 Afrika Magharibi wameambukizwa ugonjwa wa Ebola tangu uzuke mwezi Machi mwaka huu.
Hakuna tiba inayojulikana kutibu ugonjwa huu lakini baadhi ya watu walioambukizwa virusi vya Ebola wamepata nafuu baada ya kupewa dawa ya Zmapp iliyo katika majaribio.
Hata hivyo dawa hiyo imeadimika kwa sasa.

Pia Jumapili, mfanyakazi wa afya wa Uingereza aliambukizwa ugonjwa wa Ebola nchini Sierra Leone na kurejeshwa Uingereza akisafirishwa na ndege ya jeshi la Uingereza, RAF.
Ni mgonjwa wa kwanza Mwingereza kuthibitishwa kuambukizwa virusi vya Ebola wakati wa mlipuko wa sasa wa ugonjwa huo.

Marekani imetuma vifaa vya tiba kusaidia kupambana na mlipuko wa Ebola nchini Liberia.
Watu kadha wamekufa katika kipindi cha mwezi uliopita baada ya kuugua homa isiyojulikana katika jimbo la Equateur katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
Jumapili, Waziri wa Afya wa DR Congo Felix Kabange Numbi amesema watu wawili kati ya wanane waliopimwa ugonjwa Ebola wamethibitika kuambukizwa ugonjwa huo.
Ameiambia BBC kuwa eneo la karantini litawekwa katika eneo la kipenyo cha kilomita za mraba 100 katika eneo la Boende ambao wagonjwa wamegundulika.
Amesema huu ni mlipuko wa saba wa ugonjwa wa Ebola nchini DR Congo.
Virusi vya ugonjwa wa Ebola kwa mara ya kwanza viligundulika nchini humo mwaka 1976 karibu na Mto Ebola.
Bwana Numbi amesema vipimo zaidi vinafanyika.
Jumamosi, bunge la Sierra Leone lilipitisha sheria mpya kuwa ni kosa la jinai kuwaficha wagonjwa wa Ebola.
Tayari watu zaidi wamekufa katika mlipuko huu wa Ebola kuliko milipuko mingine iliyowahi kutokea. Kama sheria hiyo itaidhinishwa na rais, wale wanaokamatwa kwa kuwaficha wagonjwa watakabiliwa na adhabu ya kifungo jela cha kufikia miaka miwili.
Hatua hii imekuja baada ya Ivory Coast kufunga mipaka yake ya nchi ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Ebola nchini humo.
Nchi hiyo tayari imepiga marufuku safari za ndege kwenda na kutoka Sierra Leone, Liberia na Guinea.
Gabon, Senegal, Cameroon na Afrika Kusini zimechukua hatua kama hizo.
Shirika la Afya Duniani linasema upigaji marufuku safari za ndege hakusaidii, na kinachotakiwa ni madaktari zaidi na maafisa kusaidia kuwafuatilia walioambukizwa Ebola, ikiwa ni pamoja na kuwa na maabara zaidi za kuhama.
Wiki iliyopita, madaktari wawili wa Marekani waliruhusiwa kutoka hospitalini nchini Liberia baada ya kupewa dawa ya ZMapp drug, wakati ambapo madaktari watatu wa Liberia pia wanaendelea vema.

Ugonjwa wa Ebola unaenezwa kati ya binadamu kwa kugusana moja kwa moja na majimaji ya mtu aliyeambukizwa ugonjwa huo. Ni moja kati ya magonjwa hatari kuliko yote duniani, ambapo asilimia 90 ya watu wanaoambukizwa ugonjwa wa Ebola hufariki dunia.Chanzo BBC Swahili

WABUNGE WA CCM WAUNGURUMA HUKO MTERA MKOANI DODOMA


IMG-20140824-WA0005
Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akiwahutubia wananchi katika kijiji Iringa Mvumi Jimbo la Mtera mkoani Dodoma ambapo Chama cha mapinduzi kimeendelea kuuelimisha umma juu ya masuala ya Maendeleo, utekelezaji wa ilani, maandalizi ya uchaguzi wa serikali za vijiji na mitaa, bunge la katiba na mambo yanayohusu maendeleo ya katika vijiji na wilaya zetu.
Pia kuwakumbusha juu ya thamani ya muungano wetu na vipengele muhimu vinavyojadiliwa ndani ya katiba.
IMG-20140824-WA0006
Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akiendelea kutema cheche katika mkutano huo.
IMG-20140824-WA0007
Umati wa wananchi waliohudhuria katika mkutano huo ukiwasikiliza wabunge mbalimbali wa Bunge la Jamhuri ya muungano ya Tanzania waliokuwa wanahutubia katika mkutano huo.
IMG-20140824-WA0008
Mbumge wa ji,bo la Sikonge Mh. Said Mkumba akiwahutubia wananchi katika mkutano huo.
IMG-20140824-WA0010
Wananchi wakisikiliza kwa makini Mbunge wa Chalnze Ridhiwani Kikwete alipokuwa akiwahutubia
IMG-20140824-WA0011
Mbunge wa jimbo la Mtera Mh. Livingstone Lusinde akiwahutubia wananchi wa jimbo lake katika kijiji cha Iringa Mvumi mkoani Dodoma.
IMG-20140824-WA0012
Mbunge wa Jimbo la Nkenge mkoani Kagera , Asumpta Mshana akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Iringa jimbo la Mtera jana nyuma ni mbunge wa jimbo la Mtera Mh. Livingstone Lusinde
IMG-20140824-WA0013
Baadhi ya wananchi wakiwa wamekaa kwenye mapaa y nyumba huku wakifuatilia kutano huo.
IMG-20140824-WA0014
Umati wa wananchi aliohudhuria katika mkutano huo.
IMG-20140824-WA0015
Mbunge wa jimbo la Mtera Mh. Livingstone Lusinde akiwahutubia wananchi wa jimbo lake katika kijiji cha Iringa Mvumi mkoani Dodoma.
IMG-20140824-WA0017
Mbunge wa jimbo la Mtera Mh. Livingstone Lusinde akipanda jukwaani kuwahutubia wananchi wa jimbo lake katika kijiji cha Iringa Mvumi mkoani Dodoma baada ya mbunge wa jimbo la Chalinze Mh Ridhiwani Kikwete kuwahutubia.
IMG-20140824-WA0019 IMG-20140824-WA0020
Mbunge wa jimbo la Mtera Mh. Livingstone Lusinde akiendelea kutema cheche mbele ya wananchi wa jimbo lake katika kijiji cha Iringa Mvumi mkoani Dodoma

WABUNGE WA CCM WAUNGURUMA HUKO MTERA MKOANI DODOMA


IMG-20140824-WA0005
Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akiwahutubia wananchi katika kijiji Iringa Mvumi Jimbo la Mtera mkoani Dodoma ambapo Chama cha mapinduzi kimeendelea kuuelimisha umma juu ya masuala ya Maendeleo, utekelezaji wa ilani, maandalizi ya uchaguzi wa serikali za vijiji na mitaa, bunge la katiba na mambo yanayohusu maendeleo ya katika vijiji na wilaya zetu.
Pia kuwakumbusha juu ya thamani ya muungano wetu na vipengele muhimu vinavyojadiliwa ndani ya katiba.
IMG-20140824-WA0006
Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akiendelea kutema cheche katika mkutano huo.
IMG-20140824-WA0007
Umati wa wananchi waliohudhuria katika mkutano huo ukiwasikiliza wabunge mbalimbali wa Bunge la Jamhuri ya muungano ya Tanzania waliokuwa wanahutubia katika mkutano huo.
IMG-20140824-WA0008
Mbumge wa ji,bo la Sikonge Mh. Said Mkumba akiwahutubia wananchi katika mkutano huo.
IMG-20140824-WA0010
Wananchi wakisikiliza kwa makini Mbunge wa Chalnze Ridhiwani Kikwete alipokuwa akiwahutubia
IMG-20140824-WA0011
Mbunge wa jimbo la Mtera Mh. Livingstone Lusinde akiwahutubia wananchi wa jimbo lake katika kijiji cha Iringa Mvumi mkoani Dodoma.
IMG-20140824-WA0012
Mbunge wa Jimbo la Nkenge mkoani Kagera , Asumpta Mshana akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Iringa jimbo la Mtera jana nyuma ni mbunge wa jimbo la Mtera Mh. Livingstone Lusinde
IMG-20140824-WA0013
Baadhi ya wananchi wakiwa wamekaa kwenye mapaa y nyumba huku wakifuatilia kutano huo.
IMG-20140824-WA0014
Umati wa wananchi aliohudhuria katika mkutano huo.
IMG-20140824-WA0015
Mbunge wa jimbo la Mtera Mh. Livingstone Lusinde akiwahutubia wananchi wa jimbo lake katika kijiji cha Iringa Mvumi mkoani Dodoma.
IMG-20140824-WA0017
Mbunge wa jimbo la Mtera Mh. Livingstone Lusinde akipanda jukwaani kuwahutubia wananchi wa jimbo lake katika kijiji cha Iringa Mvumi mkoani Dodoma baada ya mbunge wa jimbo la Chalinze Mh Ridhiwani Kikwete kuwahutubia.
IMG-20140824-WA0019 IMG-20140824-WA0020
Mbunge wa jimbo la Mtera Mh. Livingstone Lusinde akiendelea kutema cheche mbele ya wananchi wa jimbo lake katika kijiji cha Iringa Mvumi mkoani Dodoma.

KUTANA NA DOCTOR ALIETENGENEZA VIRUSI VYA UKIMWI

Huyu ndiye daktari alietengeneza virusi vya UKIMWI.

Sunday 24 August 2014

AMA KWELI NYEGE KWANZA AKILI BADAE... MUUZA GENGE AMBAKA MWANZAFUNZI KISHA KUMHONGA BUKU 5, MAZA ACHARUKA BAADA YA KUGUNDUA


Msala! Kwenye Kituo cha Polisi cha Maturubai kilichopo Mbagala, Dar kuna faili la kesi namba MBL/RB/ 9817/2014- KUFANYA MAPENZI NA MWANAFUNZI ambalo linamsaka kijana Juma Athumani (30), mkazi wa Charambe, Mbagala kwa kosa la ubakaji wa denti wa darasa la saba.

Add caption
Denti wa darasa la saba aliyebakwa na muuza genge anayefahamika kwa jina la Juma Athumani (30)
Habari za kiintelijensia zilidai kwamba mtuhumiwa huyo ambaye ni muuza genge, alitenda kosa hilo Agosti, mwaka huu ambapo denti huyo alikuwa ametumwa na mama yake gengeni.
Ilisemekana kwamba jamaa huyo alimuomba denti huyo wazungumze kidogo ndipo akampeleka gesti kwa lazima.

Akizungumza na gazeti hili bora la habari za mastaa na kijamii, denti huyo alisema kuwa alipofika gesti, jamaa huyo alilipa fasta na kumvutia chumbani ambapo alianza kumshika ‘manido’ kisha akamtupia kitandani na kumwingilia kimwili bila ridhaa yake.

Mama wa mwanafunzi aliyebakwa.
Alisema kwamba, jamaa alipomaliza shida zake, alimpa buku tano (5,000/=) lakini alipokataa huku akilia ndipo mwanaume huyo akamuongezea hadi ikafika buku kumi (10,000/=).
“Niliporudi nyumbani mama aliniuliza kwa nini nimechelewa kisha akaziona hela, akaniuliza nimezipata wapi, nikamwambia amenipa Juma ndiyo tukaenda hadi gengeni kwa Juma kuuliza ndiyo mama akagundua kuwa nimebakwa.

“Baadaye mama alikwenda kuripoti polisi ndipo Juma akakamatwa na mimi nikapelekwa hospitali na kugundulika kweli nilikuwa nimebakwa,” alisema denti huyo.
Habari zilizotufikia punde kabla ya kuingia mitamboni zilidai kwamba uchunguzi wa polisi unaendelea ili sheria ichukue mkondo wake.

NDOA YA MTANGAZAJI WA STAR TV SAUDA MWILIMA SASA NI SHIDA!


Oooh nooo! Miaka miwili baada ya kufunga pingu za maisha (ndoa) na mwanaume aitwaye Kauli Juma, imefichuka kwamba ndoa ya prizenta wa Star TV, Sauda Mwilima ina shida kwani haishi na mumewe, ikidaiwa kwamba kila mmoja anaishi nchi tofauti na mwenzake.

Prizenta wa Star TV, Sauda Mwilima akiwa na mume wake, Kauli Jumasiku ya harusi yao.
Kikizungumza na Ijumaa Wikienda, chanzo makini ambacho ni mtu wa karibu wa Sauda, kilisema kwamba baada ya wawili hao kufunga ndoa, Kauli aliondoka kwenda nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ alikokuwa akifanya shughuli zake kabla ya kufunga ndoa na hadi leo hajawahi kurudi Tanzania.
“Yaani baada ya Sauda kufunga ndoa, mumewe alikaa kwa miezi michache hapa Bongo, nasikia hata tendo la ndoa walifanya mara mbili tu.
“Hata alipojifungua na mtoto kufariki dunia kwa bahati mbaya, mumewe hakuwepo na hadi leo hajarudi, ukweli inauma sana ila Sauda ni mvumilivu kwani ndoa yake ni shida,” kilisema chanzo hicho.
Baada ya kuzinyaka habari hizo, mwanahabari wetu alimtafuta Sauda ambapo alikuwa na haya ya kusema:
Sauda Mwilima akivishwa pete na mume wake, Kauli Juma.
“Ni kweli anaishi Sauzi. Tangu tukiwa wachumba tulielewana kwamba tukioana kila mtu ataendelea kuishi anapoishi hivyo mume wangu anafanya shughuli zake nchini Afrika Kusini na huwa anakuja mara mojamoja akiwa na nafasi au akiwa likizo.

“Mimi siyo mtu wa kujionesha kwamba eti mume wangu yupo nchini hivyo akija huwa ni kimyakimya anakaa tunaendelea na mambo ya familia yetu basi muda ukiisha anaondoka na tulikubaliana tangu tukiwa wachumba hivyo ikitokea mmoja wetu ameamua kumfuata mwenzake na kwenda kuishi naye hakuna shida,” alisema Sauda.Sauda aliongeza kwamba ndoa yake iko vizuri na hawajaachana na endapo ingekuwa haipo asingevaa pete ya ndoa.
“Ndoa yangu haijavunjika, tuko vizuri na mume wangu japokuwa tuko mbali lakini kila mmoja anamwamini mwenzake,” alisema Sauda.
Wadau wanaifananisha ndoa hiyo na ya Aunt Ezekiel na kudai kuwa wawili hao hawachekani.

MAGAZETI YA LEO TAREHE 25/8/2014

.
.

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.