Tuesday 21 October 2014
Monday 20 October 2014
TAZAMA PICHA ZA KISIMA CHA AJABU KILICHOPO MJINI DODOMA..!
mbili za Wanyazaga na Wambukwa mnyambwa wakiwa wamekusanyika kukizunguka kisima kinachosemekana kimejaa maajabu cha Bwibwi kilichopo Katika kijiji cha Iyumbu kilichopo pembezoni mwa Chuo kikuu cha Dodoma [UDOM]
Baadhi ya wananchi wakifurahia kutumia maji yanayopatikana kisima cha Bwibwi kilichopo katika kijiji cha iyumbu Manispaa ya Dodoma, kisima hicho kilichovumbuliwa katikati ya miaka 1,800 kiko katika hatihati ya kufukiwa na eneo hilo lituumike kwa matumizi mengine.
Mkuu wa kimila wa kabila la kigogo Lazaro Chihoma akinywa maji yaliyochotwa kisima cha Bwibwi kilichopo Kijiji cha Iyubu Manispaa ya Dodoma, Kisima hicho kinachoaminika ni cha maajabu na mtu anayetumia maji yake hupata Mafanikio ya kiafya na kimaisha
HUU MSALA NA MAJANGA SASA ,BABA ACHOMA MOTO NYUMBA NA KUFA YEYE NA MKEWE BAADA YA KUGOMBANA
Mume na mke wamejilipua namafuta ya Petrol Mkoani Mtwara baada ya kutokea kwa ugomvi baina yao wakati wa usiku.
Kamanda wa Polisi alisema vifo hivyo vilitokana na ugomvi wa kifamilia ambapo Mume huyo aliyetambulika kwa jina la Selsius Kamguna alimpiga mkewe hadi kupoteza fahamu.
Alisema baada ya kuona mke wake amepoteza fahamu aliamua kuteketeza nyumba yao kwa moto akitumia mafuta ya petroli wakiwa ndani kitendo kilichosababisha wote wawili kupoteza maisha,
HICHI NDIO KILICHOMFANYA T.I KUKERWA NA KUWATUKANA MASHABIKI WAKE...SOMA HAPA KUJUA UNDANI ZAIDI
Rapper T.I ameamua kuvunja ukimya na kutoa matusi kwa mashabiki wake waliokuwa wakimkejeli na kumtukana kwa uamuzi wake wa kuja Africa
Katika moja ya picha zake kupitia ukurasa wake wa insta aliyokuwa ameituma akiwa Tanzania, mashabiki wake kutoka marekani walimshambulia kwa kuchukua uamuzi wa kuja Africa wakati akijua wazi kuna ugonjwa wa Ebola, na hata kudiriki kusema “ndio maana ugonjwa huo unawafikia wamarekani.
Baada ya comment za aina hiyo kuongezeka kwa kasi T.I aliamua kuvunja ukimya na kumkibu mmoja wa mashabiki hao aliedai kuwa “Ebola ipo huko na bado mnasafiri???ndio maana ugonjwa huo umefika US
TAARIFA KUTOKA JENZI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA (JWTZ)
JJESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
KURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO
Simu ya Upepo : “N G O M E” Makao Makuu ya Jeshi,
Simu ya Mdomo : DSM 22150463 Sanduku la Posta 9203,
Telex : 41051 DAR ES SALAAM, 20 Octoba, 2014
Tele Fax : 2153426
Barua pepe : ulinzimagazine@yahoo.co.uk
Tovuti : www.tpdf.mil.tz
Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linatoa taarifa kwa wananchi wote kuwa ni kosa kisheria kumiliki au kuvaa sare za JWTZ kwa mtu yeyote asiyehusika.
Aidha, kumeonekana matukio kadhaa ya baadhi ya vikundi, ama mtu mmoja mmoja kumiliki au kuvaa sare za JWTZ. Inakumbushwa kuwa kwa yeyote atakayeonekana amevaa ama kumiliki sare hizo sheria itachukua mkondo wake.
Imetolewa na Kurugenzi ya Habari na Mahusiano
Makao Makuu ya Jeshi, Upanga
S.L.P 9203, Dar es Salaam, Tanzania.
Kwa Mawasiliano zaidi: 0783 - 309963
Thursday 16 October 2014
SAKATA LA MISS TANZANIA NA UMRI WAKE.
Umeona alichokisema Fid Q baada ya watu kuendelea kuuzungumzia umri wa Miss Tanzania Sitti Mtemvu?
Kama ulifatilia shindano la Miss Tanzania 2014 weekend iliyopita utakua unajua kilichotokea na kinachoongelewa ikiwa ni baada ya baadhi ya watu kupinga au kutoridhishwa na matokeo ya mshindi aliyetangazwa ambae ni Sitti Mtemvu mtoto wa mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu.
Kumekuwepo na malalamiko mengi sana hasa kwenye mitandao ya kijamii ambako zimesambazwa hadi picha zake pamoja na hati za kusafiria, ishu nyingine ikizungumzwa kwamba kuna uwezekano amedanganya umri na elimu yake.
MELI KUBWA KULIKO ZOTE DUNIANI YATIA NANGA UINGEREZA KWA MARA YA KWANZA, INA VIWANJA, UKUMBI , HII NI ZAIDI YA TITANIC
The world's largest cruise ship arrived in the UK today for the first time.
The £800m Oasis Of The Seas sailed into Southampton at 10am on Wednesday in dense fog, welcomed by a crowd of hundreds and helicopters circling overhead.
Weighing 225,282 tonnes, the 1,187ft ship is longer than London's The Shard is tall, and at 208ft wide, larger than the wingspan of a Boeing 747.
Tight squeeze: On its maiden voyage, the ship is pictured lowering its smokestacks to squeeze under the Great Belt Bridge
Dominic Paul, senior vice president of Royal Caribbean International, said:
'Today is an important milestone in the global expansion of the Royal
Caribbean International business.
'We are marking a significant step change in our investment into growth markets around the world.
'The welcome of Oasis of the Seas to Southampton is followed next year by
sistership Allure of the Seas sailing outside the Caribbean for the
first time during a summer 2015 season based in Barcelona.
'These investments highlight our commitment to deliver the most innovative and architecturally advanced ships to Europe and are part of our ongoing
effort to redefine the cruise sector.
'Our extensive investments into new ships, new technology and new ideas are
increasing the appeal of the cruise sector around the world
Subscribe to:
Posts (Atom)