Thursday 23 October 2014
CHEKI BARUA YA DIAMOND KWENDA KWA JWTZ
Hatimaye diamond Platnum aomba msamaha baada ya kua ametumia gwanda za Jeshi. Cheki barua alioiandika kwenda kwa JWTZ
YP AAGWA KWA MACHOZI MENGI!!! WASANII MBALIMBALI AKIWEMO JUMA NATURE WALIMWAGA YAO YA MOYONI!!
Y - P azikwa |
YP kabla ya kuhamia katika sanaa ya uimbaji na kuibuka na kundi la wanaume Family alikuwa akifanya sanaa ya maigizo na vichekesho akiwa kundi moja na wasanii, Masanja Mkandamizaji, Mpigapicha maarufu na Blogger Mroki Mroki, Kiwewe, Dokii enzi hizo wakiwa na kundi la Get Well Generation lililokuwa chini ya Dokii na kurusha michezo yake Star Tv
Tuesday 21 October 2014
Subscribe to:
Posts (Atom)