Monday, 18 July 2016

MANENO YA MUHESHIMIWA BAADA YA KUUPINGA USHOGA.

Ushoga umepingwa na vitabu vya dini, haipo kisheria najua watanitukana sana lakini nguvu niliyonayo hakuna wa kunisimamisha" - Mkuu wa Mkoa wa Dsm - Paul Makonda

DEMBA BA AVUNJIKA MGUU AKIWA UWANJANI

Demba Ba atarudi tu coz bone healing may takes from 8 weeks to 12 weeks but physically kuwa fit may take up to 10 months sema atakuwa muoga huyoo kama kunguru