Wednesday, 3 July 2013

HUYU NDIO MTANZANIA ATAKAYE BURUDISHA KWENYE SHOW YA BIG BROTHER AFRICA JUMAPILI HII



Anajulikana kwa Jina la Wakazi ....Ni Mtanzania Ambae yuko katika harakati za Hip Hop muda mrefu japo kipindi cha nyuma alikuwa akizifanyia hizo harakati Marekani ..ila kwa sasa Yupo Tanzania ....Jumapili hii Aburudisha katika Show ya Big Brother ya Kila Jumapili.....Hongera Brooooooo
TOA MAONI YAKO HAPA

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg