YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Friday 10 October 2014

BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI KILIMANJARO SIKU YA JANA


Muonekano wa basi la Dar Express lenye namba za usajili T640 AXL linalofanya safari zake Kati ya Dar na Rombo baada ya kupata ajali jana jioni eneo la Marangu, Mamba mkoani Kilimanjaro.
Wananchi wakiwa eneo la tukio muda mfupi baada ya basi la Dar Express kupata ajali.
(PICHA NA MTANDAO)