YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Thursday 20 September 2012

MAGAZETI YA LEO TAREHE 21/9/2012


0

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

.

AIBU: MISS TABATA 2011, "FAIZA ALLY" APIGA PICHA CHAFU NA KUSAMBAZWA MTANDAONI NA MTU WAKE




 MISS  TABATA 2011,    FAIZA ALLY

Kweli sasa naamini ule msemo; "you can remove some people from the bush but you can not remove the bush from their heads" 
 
Ni aibu kubwa  sana Mtu mzima  kuweka picha za nusu utupu  ambazo ni za mpenzi wako  mkiwa mnafanya mapenzi.Unamdorisha nani ambaye unadhani hajui?

 Hii  inatosha  kuonesha ni jinsi gani usivyothamini utu wa huyo mpenzi wako na jinsi usivyowaheshimu wazazi wake  na  ndugu  zake....

Kumbuka jinsi alivyokuthamini na kukubali  kukuvulia nguo zake kama mpenzi wake....Badala  ya kumshukuru, unaamua  kumpiga picha za  nusu utupu na kuzisambaza katika mitandao.Hakika huu ni unyama!!! 

Miss Tabata  2011  amawatia  aibu watanzania  kwa kupiga  picha  chafu na kuzisambaza mtandaoni akiwa na mwanaume  mtu  mzima ambaye  ni sawa  na baba yake mzazi....Mwanaume huyo anayejulikana kwa jina  la  Kali Shaban  ndiye  aliyezisambaza  hizo picha za aibu
 FAIZA  ALLY AKIJIANDAA  KUVUNJA  AMRI YA  SITA...PICHA  ZIMESAMBAZWA NA  MTU WAKE,  KALI.

Picha hizo  chafu zinamuonesha  Miss  tabata 2011   Faza Ally akiwa mtupu huku  sehmu ndogo ya mwili wake ikifichwa kwa chupi yake   isiyo na  thamani




Baadhi ya picha hizo zinawaonesha  wawili hao  wakifanya mapenzi huku wakiwa kama  walivyo

Tukio  hilo la aibu wamelifanya wakiwa nchini Afika kusini kwa kile walichokiita kuwa  walienda  kula good  time.

Tazama  wasivyojiheshimu....JE, MNGEFANYA MAPENZI BILA KUTUONESHA  NYETI  ZENU  NI NANI ANGEWASEMA??

>>>JE, MNGEPIGA HIZO PICHA ZENU NA KUKAA  NAZO NI NANI  ANGEWAFUATILIA???

>>KAMA  KWELI MNAPENDANA, MNADHANI WAZAZI WENU WANA WACHUKULIAJE?

>>>ACHENI  KUTAFUTA UMAARUFU  USIO  NA  HESHIMA  JAMANI

Mambo Unayofanya bwana ALLY  ya kuweka katika net vipicha vya wasichana  wako wakati umri wako unavyoonekana sio less than 65, ni ushamba wa hali ya juu...!

NB: PICHA  NYINGINE HAZINA  MAADILI

Wednesday 19 September 2012

HIVI NDIVYO WASANII WA BONGO MOVIE WALIVYOAMUA KUONYESHA NYETI ZAO KWENYE FIESTA MWAKA HUU






Jamani wasanii mjiheshimu ili mwisho wa siku majina yenu yapate kufika mbali lakni kama ni hivi sijui kama tutafikia. 

Link za majina ya bodi ya mkopo / loan allocation list 2012/2013



AJALI MBAYA MKOANI MBEYA: KAMBA YA KUFUNGIA NG'OMBE PAMOJA NA GOGO LA MTI VYATUMIKA KUFUNGIA USUKANI WA BASI LA ABIRIA.



 Sehemu ya chini ya usukani ukiwa umefungwa kwa kamba (ambayu hutumika kufungia ng'ombe) na mti kama uonavyo pichani,katika basi la abiria linalomilikiwa na Kampuni la Mwasha ambalo husafirisha abiria kutoka Sumbawanga/Mbeya na Mbeya/Sumbawanga. Hii imegunduliwa baada ya ajali iliyotokea hivi karibuni katika eneo la Senjele,Wilaya ya Mbozi Mkoani Mbeya,baada ya basi hilo kupinduka ambapo zaidi ya abiria 50 walijeruhiwa na kukimbizwa katika Hospitali ya Ifisi Wilaya ya Mbeya Vijijini.
 Baadhi ya mashuhuda wa ajali ya basi linalomilikiwa na Kampuni la Mwasha ambalo husafirisha abiria kutoka Sumbawanga/Mbeya na Mbeya/Sumbawanga. Hii imegunduliwa baada ya ajali iliyotokea hivi karibuni katika eneo la Senjele,Wilaya ya Mbozi Mkoani Mbeya.
 Mmoja wa majeruhi akiwa amelazwa,akisubiri kupewa matibabu katika Hospitali ya Ifisi kufuatia ajali ya basi hilo lilolopinduka na kujeruhi abiria 50.
  Mmoja wa majeruhi akiwa mapumzikoni baada ya kupewa matibabu katika Hospitali ya Ifisi kufuatia ajali ya basi hilo lilolopinduka na kujeruhi abiria 50.
 Wauguzi wa Hospitali ya Ifisi wakikokota kitanda kilichobeba majeruhi wa ajali ya basi.
 Majeruhi akipatiwa matibabu.
Muuguzi Mkuu Sikitu Mbilinyi wa Hospitali ya Ifisi,akitoa taarifa ya majeruhi waliopokelewa katika Hospitali hiyo ya Ifisi,kufuatia ajali ya Kampuni la Mwasha ambalo husafirisha abiria kutoka Sumbawanga/Mbeya na Mbeya/Sumbawanga. Hii imegunduliwa baada ya ajali iliyotokea hivi karibuni katika eneo la Senjele,Wilaya ya Mbozi Mkoani Mbeya,baada ya basi hilo kupinduka ambapo zaidi ya abiria 50 walijeruhiwa na kukimbizwa katika Hospitali ya Ifisi Wilaya ya Mbeya Vijijini.

Hata hivyo imedaiwa kuwa chanzo cha ajali hiyo ni kutokana na basi hilo kubeba mizigo mizito na kujaza abiria kupita kiasi na usukani wake kufungwa kamba ya katani na mti.

AIBU TUPU JAMANI!!!!. WAFANYA NGONO HADHARANI KWENYE JUMBA LA KIFAHARI. tunaelekea wapi watanzania wenzangu?


AIBU: WANAWAKE WAFANYA MAPENZI KAMA KUKU NA HUYU NDO MWANAUME ANAYEWAFANYIA HIVYO NDANI YA JUMBA LAKE LA KIFAHARI


Mwanaume anayejulikana kwa jina la Peter Rupia amekuwa  na  tabia  chafu  ya kuwafanyisha mapenzi  wanawake  mithili ya wanyama ndani  ya jumba lake  la  kifahari.......


Chanzo chetu cha habari kimedai kuwa, nyumba  hiyo ya kifahari ipo maeneo ya  Mbezi Beach, ambapo wasichana hualikwa na kunywa pombe baadaye hupigwa picha za utupu.


Mtandao huu  umefanikiwa kupata picha zilizopigwa  ndani  ya jumba hilo na nyingi zinaonesha watu wakifanya mapenzi ama mwanaume na mwanamke au mwanamke na mwanamke.

Baadhi ya picha zilizopigwa katika jumba hilo zinaonesha maadili yasiyofaa kuandikwa , huku baadhi ya wasichana wakiwa na nguo za ndani tu au kufunga mataulo viunoni, matiti yakiwa nje.

Picha hizo, zinaonesha wavulana wakiwa na wasichana ndani ya bwawa la kuogelea huku wengine wakichezewa kimahaba.


Habari  zinadai  kuwa ndani ya jumba hilo sherehe kama hizo zimekuwa zikifanyika mara kwa mara na waalikwa huambiwa kuwa hiyo ni siku ya kula bata.

Aidha, imeelezwa kuwa washiriki wote hasa wanawake kila mmoja hupewa shilingi 100,000 baada ya sherehe na haijulikani   picha hizo chafu hupelekwa wapi baada ya shughuli.


Mpekuzi  wetu aliyefuatilia taarifa hizi alifanikiwa kunasa rundo la picha ambazo ni mbaya zinazowaonesha baadhi ya waalikwa wakisakata dansi wakiwa watupu kama  unavyoona  hapa  chini.