YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Saturday 12 October 2013

KIJANA AANGUKIWA NA KONTENA WAKATI LIKIPAKULIWA


ZITTO AFICHUA HUJUMA DHIDI YA KATIBA MPYA


NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Kabwe, ameibua tuhuma nzito baada ya kudai kuwa kuna njama zinazofanywa na wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutaka mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya usiishe.

Alisema lengo la wabunge hao, ni kutaka muda wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 usogezwe mbele hadi 2017, ili waendelee kukaa madarakani.

Kutokana na kuwapo kwa njama hizo, Zitto, ambaye pia ni Mbunge wa Kigoma Kaskazini, alisema CHADEMA kamwe haikubali uvunjaji wa aina yoyote wa Katiba, huku akimuonya Rais Jakaya Kikwete kutothubutu kukubaliana na fitna hizo.


Zitto, alitoa kauli hiyo jana, wakati alipofanya mikutano mbalimbali ya hadhara kwa nyakati tofauti, katika Jimbo la Bukene, mkoani Tabora, kwa ajili ya ujenzi wa chama chake kanda ya magharibi.

Alisema hata vurugu zilizotokea bungeni hivi karibuni na Naibu Spika Job Ndugai, kuruhusu askari kuingia ndani ya ukumbi wa Bunge kuwakamata na kuwapiga wabunge wa upinzani, ilikuwa sehemu ya mpango huo wa kutaka kusogezwa mbele kwa muda wa wabunge kutoka madarakani.

Alisema hoja inayojengwa na wabunge hao, ambao wameshaanza kuipenyeza kwa ajili ya kumfikia Rais Kikwete, ni kwamba kama Katiba Mpya itapatikana kwa wakati huu, muda wa kujiandaa na uchaguzi wa mwaka 2015 utakuwa hautoshi.

“Hawa ni wabunge waroho wa madaraka, hawajafanya jambo lolote jema katika majimbo yao, sasa wanajua hawawezi kurudi, ndiyo maana wanataka muda usogezwe ili waendelee kulipwa mshahara na posho …. Sisi CHADEMA, tunasema hilo hapana, hatuwezi kukubali uchaguzi usogezwe kwa miaka miwili na namuonya Rais Kikwete asituhubutu kuingia katika mtego huo unaowahusisha baadhi ya mawaziri,” alisema Zitto.

Alisema wananchi waliwachagua wabunge kwa ajili ya miaka mitano na kwamba kuwapo Katiba Mpya au isiwepo, ni muhimu kwa uchaguzi mkuu ufanyike.

Alisema CHADEMA inatoa kauli hiyo, ili wananchi wajue mkakati huo na washiriki kuupigia kelele, kwa kile alichoeleza kuwa mipango hiyo imeshaanza jijini Dar es Salaam na mjini Dodoma.

Zitto, alisema baadhi ya mawaziri wanataka kutumia nafasi yao ya kuwa karibu na Rais kumshawishi akubali mkakati huo kwa kumueleza kuwa hali hiyo itamjengea heshima na kumbukumbu ya kuiachia nchi Katiba iliyo bora.

Mei 13, mwaka huu, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, alidai kunasa taarifa za siri za kuwapo kwa mipango ya kuongeza muda wa Serikali ya sasa kukaa madarakani.

Profesa Lipumba, alisema hiyo inatokana na wasiwasi kuwa mchakato wa Katiba Mpya hautaweza kukamilika mwaka 2014, hivyo kutokuwa rahisi kwa uchaguzi kufanyika mwaka 2015.

Profesa Lipumba, alitoa kauli hiyo wakati akifungua kikao cha Baraza Kuu la CUF.

Hata hivyo, madai hayo ya Profesa Lipumba yalipingwa vikali na Serikali na viongozi wake watatu waandamizi, ambao walijibu walipoulizwa kwa maandishi na mwandishi wetu mjini Dodoma wanakohudhuria kikao cha Bunge.

Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe, alijibu: “Mchakato wa Katiba upo ‘on track’ (unakwenda vizuri) hatuna sababu ya kufanya hivyo.”

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, alijibu: “Njooni ofisini kwangu, nitasema ni kitu gani.”


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, William Lukuvi, alijibu kwa utani bila ya kufafanua: “Njooni niwajuze, unajua kamba haitoki Ukambani kama ilivyo kamba.”

AIBU:SERIES YA 4 YA FLORA LYMO NA PICHA ZA UTUPU....SASA AJA NA PICHA AKIZIONESHA NGUO ZAKE ZA NDANI.

Kutana na mwanamama floralymo ni mtanzania anyeishi nje ya nchi ambaye yuko kwenye "SERIES" ya kupiga a picha za nusu utupu na kuziweeka kwenye blog yake...Hizi ndizo picha zake na manaeno aliyoandika juu ya picha husika....Twende tuone hapo chini 







CHUPPPPPPIIIII'' ZA KUFANYA KAZI ZAKO HOME'LOOK SEXY AND 'FEEL SEXY ''YANI HAKUNA CHAKUJALI YA WATU ''WEWE FANYA UYAPENDAYO WEWE ''UKIENDA KWA WATU NDIYO PENGINE UFANYE WAPENDAVYO WAO MAANA UMEKWENDA KWAO AU KWAKE''  
<<KWA SERIES YA TATU INGIA HAPA>>

<<KWA SERIES YA PILI  INGIA HAPA>> 


VIDEO YA NGONO YA MRISHO NGASA HII HAPA

Video Ya Ngono Ya Mrisho Ngasa Iliovuja Ni Hii Hapa


Ilienea mtandaoni mwishoni mwa mwaka jana...
Na Wanaume wa Global walii-diskasi sana...
Kama uliikosa, basi wadau wameirusha upya...

Asante sana mdau Wally kwa kuturushia hii kitu kwani mi sikuwahi kuiona.
Ambaye ana quality nzuri au aina nyingine aturushie....


Watu wanakula bata jamani... 
Ukiwa na vihela au kaumaarufu kidogo tu hapa Bongo... 
Basi utafanya ufuska mpaka wanawake wote wakukome...Manaiki Sanga style...
Halafu mambo yakibumburuka, watombaji pekee ndo wanashikiwa bango...
Vipi kuhusu hawa mabinti wanaojirahisi na kujipeleka wenyewe kwa hawa mastaa uchwara?
Kwa mtindo huu, kazi ipo !!!

Video yenyewe ndiyo hii...
Source: Blog ya wakubwa TU.

Friday 11 October 2013

ONA HAYA MAAJABU KONTENA LAKUTWA NA MAFUVU YA VICHWA VYA WATU


1615141312111087654321

17
Wengi walioipata hii taarifa wanashangaa imekuaje ni viungo tu vya binadamu vimepatikana kwenye kontena zima vikiwa vinaingizwa Kenya? vinakwenda wapi? kazi yake ni nini?

Taarifa iliyoripotiwa na Citizen TV Kenya inasema Shehena hii iliyokamatwa baada ya kupitishwa kwenye bandari ya Mombasa inasemekana imesafirishwa na Mwanasiasa maarufu ambae kabla ya kukamatwa alisema ilikua na bidhaa za nyumbani ambapo ilipofika kwenye kituo cha ukaguzi wa mashehena cha Changamwe ilipatikana na vikaragosi vya mafuvu na mifupa ya binadamu ndipo amri ikatoka kontena likamatwe.

Baadhi ya mifupa ya binadamu iliyopatikana ni pamoja na mafuvu, miguu na mikono pamoja bidhaa za nyumba ambapo vyote kwa pamoja vilikua vinasafirishwa ambapo Afisa wa maswala ya Uhusiano mwema wa KRA Fatuma Yusuf alithibitisha kwamba hii shehena iliingia kutoka China siku ya pili ya October 2013 kabla ya kugundulika ilikua na vikaragosi vya kutisha ikiwemo mifupa ya binadamu
Mpaka sasa uchunguzi wa shehena hili unaendelea lakini baadhi ya wakazi wa Mombasa wameonyesha wasiwasi wao na kusema kuna haja ya Serikali kutoa ripoti ya ibada za kishetani ambayo inasemekana kubuniwa na Rais Mstaafu Daniel Arap Moi miaka kadhaa iliyopita .
 

HII NI LAANA...!!! MSANII WA VITUKO SHOW "LISSA MLAKI" APIGA PICHA ZISIZO NA MAADILI NA KUZIWEKA MTANDAONI..


Msanii wa kundi la vituko show amejikuta katika aibu ya mwaka baada ya picha alizopiga akiwa utupu kuvuja mtandaoni...


Mnyetishaji wetu alizidaka hizo picha  baada  ya kutumiwa ma moja ya mdau . Nasi bila hiana tukaamua kuziweka picha hizo hapa ili watu tupate kujifunza na kuacha tabia hii chafu ambayo inaonekana kuota mizizi hapa nchini....

Bofya hapa chini kuziona picha hizo...




Read more: http://vitukovyamtaa.blogspot.com/2013/10/hii-ni-laana-msanii-wa-vituko-show.html#ixzz2hRlF4Flc

CHEZEA MUME WA MTU WEWE!!!! WACHAPANA MAKONDE MASAA 8 BILA KUPUMIKA:VIDEO HAPA:


RUSHWA YA NGONO: DIRECTOR BONGO MOVIE AFUMANIWA NA MSANII WAKE, ALIMWAMBIA AKITOA URODA ATAMUUZISHA SURA KWENYE KAVA LA FILAMU!


BOFYA HAPA CHINI NA LIKE PEGE ILI UWEZE KUPATA HUDUMA YA KUONA VIDEO PRIVATE: ((((BOFYA HAPA)))

 Kijana mwenye mke aliyevaa tisheti nyekundu mara baada ya kuvamia chumbani na kumkuta mkewe akiliwa uroda na muongozaji filamu,msanii maarufu wa bongo movie aliyefahamika kwa jina la NICAS.
 Mume akionesha chupi ya mkewe

 Msanii chipukizi wa filamu ambae ni mke wa mtu aliyefahamika kwa jina la Remina Rufyagira" Mwimbe" akificha sura yake kukwepa kamera za mapapalazi.
NAUA: Kijana mwenye mke kushoto akimkaba koo director huyo kwenye purukushani ya fumanizi hilo.

 Hapa ofisa wa polisi ambae ilidaiwa toka kitio cha polisi Hananasifu kilichopo Kinondoni akimsimamia msanii huyo kuvaa nguo safari ya kuelekea kituoni.


 Mwimbe akiwa haamini kilichotokea huku machozi yakimtoka kwa wingi na kujuta.

 Kulia kijana ambae ilidaiwa ni shemeji na Mwimbe akimuuliza maswali shemejie huyo.
KAMA UNATAKA KUONA VIDEO YA MCHEZO MZIMA 
 

 NICAS na Mke huyo wa mtu wakielekea kituno huku nyuma wananchi walioshuhudia tukio hilo.

 Mwenye mke aliyefahamika kwa jina la Abdula Sanga akiongea na simu kuwajuza familia ya mchumbaake kuhusu tukio hilo.


 Mfuko wa kondom uliokutwa umetumiak.