YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Tuesday 1 January 2013

SKYLIGHT BAND YAVUMBUA KIPAJI KIPYA NI MSHINDI WA PILI WA EBSS 2012 SALMA YUSUF



 
 Chezea Salma Yusuf wewe ulizoe kumuona kwenye TV wakati wa EBSS 2012 njoo umuone Live Ijumaa akitambulishwa rasmi kwa mashabiki wa SKYLIGHT BAND.
 
 Mdau Eric Ndalu katika pozi.
Sam Machozi a..k.a Sam Mapenzi akiongozaji waimbaji wenzake Aneth Kushaba (kushoto) sambamba na Sony Masamba wakitoa burudani ya aina yake Ijumaa ya mwisho kwa mwaka 2012 katika kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar es Salaam. (Picha na Mo Blog).
Sura mpya ya SKYLIGHT Band ikifanya yake Jukwaani katika show ya mwisho ya Band hiyo kwa Mwaka 2012 iliyofanyika Ijumaa ya tarehe 28 mwezi huu katika kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar es Salaam. Si mwingine ni Binti mdogo mwenye kipaji cha aina yake mshindi wa pili katika shindano la Epiq Bongo Star Search 2012 Salma Yusuf sambamba na Meneja wa Band hiyo Aneth Kushaba AK 47 wakiwapa raha mashabiki wa bendi hiyo.
Carolina mama njoo tucheze pamoja..... Moja ngoma inayobamba mujini ya SKYLIGHT BAND katia vituo mbalimbali vya radio hapa nchini. Mungu akipenda Usikose Ijumaa hii ya kwanza kwa Mwaka 2013.
Palikuwa hapatoshi..... kwa raha zao.
"Gere Mama Gere..... Wanionea Gere....." Binti mwenye kipaji sauti ya kasuku Salma Yusuf akiwazungusha mashabiki wa SKYLIGHT BAND kwa mduara akipigwa tafu na Joniko Flower pamoja na Sony Masamba katika ukumbi wa Thai Village jijini Dar.
Pichani Juu na Chini Wake kwa Waume wakizungusha mduara huku wengine wakimwaga radhi hapo kati..Hapo chacha.
Wadau wakishow love katika ukumbi Thai Village Masaki jijini Dar.
Vijana Watanashati wakipata Ukodak...Single Ladies mpooooo??? Kazi kwenu.
SKYLIGHT BAND ilipata ugeni kutoka The B Band ya Banana Zorro. Pichani ni kutoka kushoto King kif ,Aneth Kushaba AK 47 akishow love na baadhi ya wasanii wa The B BAND.
  King Kif ni-kishow Love na Aunty Ezekiel a.k.a Mrs. Demonte pamoja na rafiki yake katika usiku wa SKYLIGHT BAND.
Kati ya Vijana hawa wawili walikuwa wakisheherekea siku yao ya kuzaliwa ndani ya Kiota cha Thai Village na SKYLIGHT BAND.
Wadau wakipata Ukodak mbele ya Camera yetu.
Sam Machozi a.k.a Sam Mapenzi na rafiki yake Mwinyi wakishow love.

SKYLIGHT BAND YAVUMBUA KIPAJI KIPYA NI MSHINDI WA PILI WA EBSS 2012 SALMA YUSUF



 
 Chezea Salma Yusuf wewe ulizoe kumuona kwenye TV wakati wa EBSS 2012 njoo umuone Live Ijumaa akitambulishwa rasmi kwa mashabiki wa SKYLIGHT BAND.
 
 Mdau Eric Ndalu katika pozi.
Sam Machozi a..k.a Sam Mapenzi akiongozaji waimbaji wenzake Aneth Kushaba (kushoto) sambamba na Sony Masamba wakitoa burudani ya aina yake Ijumaa ya mwisho kwa mwaka 2012 katika kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar es Salaam. (Picha na Mo Blog).
Sura mpya ya SKYLIGHT Band ikifanya yake Jukwaani katika show ya mwisho ya Band hiyo kwa Mwaka 2012 iliyofanyika Ijumaa ya tarehe 28 mwezi huu katika kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar es Salaam. Si mwingine ni Binti mdogo mwenye kipaji cha aina yake mshindi wa pili katika shindano la Epiq Bongo Star Search 2012 Salma Yusuf sambamba na Meneja wa Band hiyo Aneth Kushaba AK 47 wakiwapa raha mashabiki wa bendi hiyo.
Carolina mama njoo tucheze pamoja..... Moja ngoma inayobamba mujini ya SKYLIGHT BAND katia vituo mbalimbali vya radio hapa nchini. Mungu akipenda Usikose Ijumaa hii ya kwanza kwa Mwaka 2013.
Palikuwa hapatoshi..... kwa raha zao.
"Gere Mama Gere..... Wanionea Gere....." Binti mwenye kipaji sauti ya kasuku Salma Yusuf akiwazungusha mashabiki wa SKYLIGHT BAND kwa mduara akipigwa tafu na Joniko Flower pamoja na Sony Masamba katika ukumbi wa Thai Village jijini Dar.
Pichani Juu na Chini Wake kwa Waume wakizungusha mduara huku wengine wakimwaga radhi hapo kati..Hapo chacha.
Wadau wakishow love katika ukumbi Thai Village Masaki jijini Dar.
Vijana Watanashati wakipata Ukodak...Single Ladies mpooooo??? Kazi kwenu.
SKYLIGHT BAND ilipata ugeni kutoka The B Band ya Banana Zorro. Pichani ni kutoka kushoto King kif ,Aneth Kushaba AK 47 akishow love na baadhi ya wasanii wa The B BAND.
  King Kif ni-kishow Love na Aunty Ezekiel a.k.a Mrs. Demonte pamoja na rafiki yake katika usiku wa SKYLIGHT BAND.
Kati ya Vijana hawa wawili walikuwa wakisheherekea siku yao ya kuzaliwa ndani ya Kiota cha Thai Village na SKYLIGHT BAND.
Wadau wakipata Ukodak mbele ya Camera yetu.
Sam Machozi a.k.a Sam Mapenzi na rafiki yake Mwinyi wakishow love.

VITUKO VYA MASTAA WA NJE.

Beyonce Shows Off Her Ratchet Earrings

If you had any doubts that Beyonce loves to watch hood classics, that Love and Hip Hop Atlanta is her guilty pleasure and she has a neck-snapping, gum-popping, gold-teeh earring wearing alter ego, her latest Instagram is a telling sign that our girl is ratchet. [And has a good sense of humor.]
Earlier today, she had a boatload of her female followers ready to beg, borrow and steal for a pair of her earrings when she posted up a few photos of her wearing a pair of “ratchet” door knockers on her Instagram page.
Somewhere, there are people kicking themselves wondering why they didn’t think of this first. Ratchet was the most over-used word of 2012 and it describes the foolishness we see on television, the internet and the streets every day perfectly.
Those buddies are gonna sell like hotcakes.
Peep a close up below:

Brandy Shows Off Her Engagement Ring [Updated]

They say ask and you shall receive.
All year, Brandy has been very vocal about wanting a ring from her music executive boo Ryan Press and it looks as though she finally received one.  According to numerous reports, Ryan proposed to Bran over the holidays and she couldn’t be happier. A source told US Weekly,“They are thrilled and happy and Brandy feels this is so right.
Earlier this year, she told Ebony Magazine:
I wish we were engaged. He’s taking a little long on the ring side of things, but I’m patient.
Patience is definitely a virtue. The couple was spotted in Hawaii over the last few days and surprisingly, Brandy was hiding her new ring as she got snapped by the paparazzi.
I would be flaunting that bish! Congrats!
Post Update: Today, Brandy gave her fans a glimpse of the ring via Instagram. The title of the post was updated to reflect the change.
Catch the pics below:

Kenya Moore Poses For Krave Magazine

Former Miss USA Kenya Moore may be labeled as bat sh-t crazy (or at least a good actress) after her stint on the newest season of the Real Housewives of Atlanta, but she definitely can take a mean pic.
Glamming it up in a zebra print dress with a pair of boxing gloves located at her feet, Kenya shows off her modeling abilities in a new photo shoot for Krave Magazine. In the spread, shot by photographer James Anthony, she also shows those half-naked boys in the locker roomwho’s boss.
She may be stirring up some trouble on RHOA but she looks nice with her “Gone With The Wind” fabulous self.
Catch a few more pics below:


Read more: Necole Bitchie.com: Livin' the Bitchie Life…. http://necolebitchie.com/#ixzz2GjT54TiC

New Video: Mya – Mr. Incredible



Remember Mya during the “Best Of Me” and “Movin On” era?
Over the past year, she’s been dabbling in international dance tracks while droppings songs with crazy titles like, “Somebody Come Get This B-tch“, but it seems as though she’s back to her R&B roots.  Or at least for one song.
The week, she released the visual for her newest record, ‘Mr. Incredible” which is a seductive bedroom banger off of her recently released K.I.S.S. album.  In  the video, she seduces the camera in a 70s style afro while singing about her Mr. Perfect.
Peep the video below:


Read more: Necole Bitchie.com: Livin' the Bitchie Life…. http://necolebitchie.com/#ixzz2GjSf1dIo

Kim Kardashian: “Kanye And I Are Expecting A Baby


They say ask and you will receive. Throughout the year, Kim Kardashian has been vocal about wanting a baby and she’s just been blessed with a new bundle of joy.
Last night, Kanye dropped a bombshell during his show at Revel when he told his engineers to stop the music so that the audience could, “Make noise for my baby mama.”  Kim made the official announcement that she was expecting her first child this morning in a blog titled, “New Year, New Beginnings”:
It’s true!! Kanye and I are expecting a baby. We feel so blessed and lucky and wish that in addition to both of our families, his mom and my dad could be here to celebrate this special time with us. Looking forward to great new beginnings in 2013 and to starting a family. Happy New Year!!! Xo
She is reportedly three months pregnant. The news comes just months after


Read more: Necole Bitchie.com: Livin' the Bitchie Life…. http://necolebitchie.com/#ixzz2GjSO47WO

Who Looked More Bitchie? Kelly Rowland, Beyonce & Ciara In Azzedine Alaia Lace Up Boots



Kelly Rowland brought a little sunshine to Rain Nightclub  in Vegas this weekend after she stepped out looking flawless for a pre-New Year’s Eve bash.  She partied in a cheetah print jacket, which she paired with leather pants and platform Azzedine Alaia lace up boots.
Beyonce and Ciara are both huge fans of the six-inch, calf-haired ankle boot.  Bey has rocked them numerous times in her Instagram photos as well as while carrying Baby Blue Ivy, and Ciara has made them her shoes of choice for a casual night out on the town.

Catch a few more pics of the ladies rocking those fierce boots below:


Read more: Necole Bitchie.com: Livin' the Bitchie Life…. http://necolebitchie.com/#ixzz2GjRyN07W

Fantasia’s Reps: [Gay Marriage Comment] Taken Far Out Of Context


Fantasia is definitely sick of all the criticism she received after she became involved with and had a baby by a married man, but her latest rant may not have been the most appropriate way to handle it.
Last night, she wrote her response to the ongoing criticism while condemning legalized gay marriages on her Instagram.  She wrote:
I Rise ABOVE IT ALL!!! THE WORLD IS GONE MAD. KIDS, THE GOVERMENT, THE church House… Everybody Trying!!!!!!! Its a lot that going on that the Bible speaks about we should Not be doing. Weed legal in some places, Gay Marriage Legal BUT YET IM JUDGED!!! Im not doing Nothing for you
ADVERTISEMENT



Read more: Necole Bitchie.com: Livin' the Bitchie Life…. http://necolebitchie.com/#ixzz2GjRaJPn3

HUYU NDIO DADA YAKE MARIO BALOTELLI AMBAE YUKO MAPENZINI NA MCHEZAJI OBAFEMI MARTIN.


5
.
Kwa wiki kadhaa sasa hivi zimekuwepo taarifa kwamba mchezaji wa Manchester City Mario Balotelli amekasirishwa na kitendo cha mchezaji wa Nigeria Obafemi Martins kuingia kwenye mapenzi mazito na dada yake, yani dada wa Balotelli.
Obafemi ameamua kuzungumza kwa kusisitiza kwamba hizo ni habari tu kwamba Mario kakasirika lakini sio kweli, Balotelli anafurahi dada yake kuwa mapenzini na Obafemi.
Wapenzi hawa wamekua wakionekana sehemu mbalimbali za goodtimes na wameonekana wazi kabisa kuwa kwenye mapenzi mazito.
Obafemi amekaririwa na Daily Post akisisitiza kwamba “Mario ni mshkaji wangu, ananiheshimu na mimi namuheshimu… habari za yeye kukasirika ni watu tu wanatunga”
Balotelli
Obafemi amesema ni kweli yuko kwenye mapenzi mazito na Abigail lakini hawana mpango wa kuoana sasa hivi na wala hawajawahi kuliongelea hilo.
Kwenye interview na gazeti la The Sun April 2012 Abigail ambae ni dada wa Mario Balotelli alisisitiza kwamba hana mpango wa kuwa mapenzini na mchezaji yeyote wa mpira kwa sababu ni watu wanaozungukwa sana na wasichana, wasichana wanajipeleka wenyewe bila kuitwa, hata Balotelli hatomruhusu kuwa na mpenzi mwanasoka lakini naona mambo yamekua tofauti sasa hivi.

MAGAZETI YA LEO JUMANNE YA KWANZA JAN 1 2013 NDIO HAYA NA STORI ZAKE KUBWA.


0
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.