YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Sunday 28 July 2013

KAMANDA MMOJA WA CHADEMA AREKODIWA AKIJIELEZA JINSI ALIVOSAGWA NA JIKE MWENZAKE


ALIVYOKUBALI KUCHEZEWA NYETI ZAKE NA KUSA


Miezi michache baada  ya  kuvuja  kwa  video  inayomuonesha  mkurugenzi  wa  ulinzi  na  usalama  wa chama  cha  demokrasia  na  maendeleo (CHADEMA),Wilfred Lwakatare  akidaiwa  kupanga  mauaji  ya  mwandishi  wa  habari,video  nyingine  ya  kamanda wa chama  hicho,Linda Bezuidenhout  imenaswa  live....!!

Tofauti  na  video  ya  Lwakatare,hii  ya  Linda inaonesha  mambo  ya  aibu  sana  ambapo  mwanadada  huyo  amerekodiwa  akijieleza  NAMNA  ALIVYO  NUSURIKA  KUSAGWA  NA  MWANAMKE  MWENZAKE.....

Kwa  mujibu  wa  uchunguzi  wetu,Kamanda  huyu  wa  CHADEMA  alirekodiwa  kwa  ridhaa  yake  kwa  lengo  la  kumfikishia  ujumbe  huyo  mwanamke  kwa  uchafu  aliomfanyia....

Katika  video  hiyo, kamanda  huyo  wa  CHADEMA  alijieleza jinsi  alivyokuwa  anasagwa  na mwanamke  huyo....

"Mimi  nimefanya  wema, wema  wangu  umeniponza, wema  wangu  my assssss, wema  wangu  my  fangasi....msenge  we.

"Una wema  wewe?? Ungekuwa  na  wema  ungekuja  kushika  KU**********m  ya  dada  ako  wewe??....mshamba  mkubwa, huna adabu".   Alisema  dada  huyo

Aidha  mwadada  huyo  ambaye  ni  mwanachama  hai  wa  CHADEMA ambaye  amekuwa  akiendesha  harakati  za  chama  hicho  nje  ya  nchi, amemlaumu  dada  huyo   kwa  KUTAKA  KUMSAGA  MPAKA  ALIPKUWA  KATIKA  SIKU  ZAKE  ZA  HEDHI....

Alimlaumu  kwa KUMLAMBA  MIDOMO  YAKE  na  alieleza  kukerwa  siku  mwanamke  huyo   alipokuja  nyumbani  na NYETI  YA  BANDIAA  AKIWA  NA   LENGO  LA  KUMWINGILIA....

 Hata  hivyo,Linda  amelaumiwa  vikali  na  watu  walioiona  video  hiyo wakisema  kwamba  alifanya  makosa   kuongea  matusi  makubwa  mbele  ya  watoto  wake.


Mpaka  sasa  haijafahaimka  video  hiyo  imevuja  vipi  na  lengo  hasa  la  kuivujisha.

Credit mpekuzi: 

BONGO FLAVA NOMA:WAKENYA WAJA TANZANIA KUTAFUTA VIPAJI VYA KUIMBA KUVIPELEKA KWAO



Mmoja wa wasanii akifanya vitu vyake.
STUDIO ya Candy n’ Candy Records kutoka nchini Kenya, ilifanya ‘audition’ ya kusaka vipaji vya muziki kwa wasanii chipukizi Bongo wapatao 10.
Audition hiyo ilifanyika jana asubuhi katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada iliyopo Ilala jijini Dar, ambapo wasanii wengi walijitokeza kuwania nafasi hizo.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa studio hiyo, Bwana Joe Kairuki, alisema kuwa tayari walishaingia mkataba na wasanii wa Kibongo kama Top C na Mr. Nice na sasa wanatafuta wasanii wengine 10 ambao watafanya kazi na studio hiyo iliyopo nchini Kenya.
Baadhi ya wasanii waliofika kushiriki zoezi hilo la kusaka vipaji.
Timu ya majaji ikiwa kazini (kulia ni Mkurugenzi wa studio hiyo, Joe Kairuki).
Top C (kulia) akiteta jambo na mwandishi

KUTANA NA MAMA WA KIPEKEE NUSRA MAGULUKO, MWANAMAMA ANAYEMILIKI USUKANI DAR-MBEYA.


Ni dereva wa bus la Ndenjela Coach anakung'uta route ya Dar Mbeya anajiamini sana akiwa barabarani abiria mnakuwa hamna wasi wasi, Kitonga anashusha na speed ile ile inayo takiwa ananikosha sana kwenye kona za Iyovi analala nalo speed 120 na anafika Dar kwa wakati. Wadada mjitokeze kwa wingi si kila ajira ni kwa ajili ya kina Baba au mnasubili mkiwezeshwa? 
Yupo mwingine anakung'uta bus la Shabiby Dar Dom nae yupo vizuri.
 

HASHEEM THABEET AIBUKIA NDANI YA BONGO STAR SEARCH




Mtanzania pekee anayeiwakilisha Tanzania kwenye ligi ya mpira wa kikapu nchini Marekani maarufu kama NBA, Hasheem Thabeet. Hivi karibuni alijunga na majaji wa Bongo Star Search kwa lengo la kuwapa moyo vijana ambao wanajaribu kuonyesha vipaji vyao kwenye shindano hili. Hasheem Thabeet ni moja ya vijana ambao wamefanikiwa kutumia vema vipaji vyao na kuwa mfano mzuri kwa vijana wengine kufanya juhudi kwenye talent zao.
1014055_583040755079983_1736572220_n
Jaji mkuu wa BSS Rita Paulsen aliandika kupitia ukurasa wake wa facebook kwamba, “Rafiki yangu Hasheem Thabeet alikuja kuwapa moyo na kuonyesha support yake kwa vijana wanaofanya usaili. Namshukuru sana kwa mchango wake”.

SHAROBARO KAUMBUKA. CHEKI HII VIDEO

Funny VIDEO: Mauzo yanavyoweza kuumbua

 
Mauzo yanavyoweza kuumbua

SHAROBARO KAUMBUKA. CHEKI HII VIDEO

Funny VIDEO: Mauzo yanavyoweza kuumbua

 
Mauzo yanavyoweza kuumbua

WATHUMIWA WALIOKAMTWA NA MADAWA YA KULEVYA CHINA NA HONG KONG WAFUNGUKA NA KUANZA KUWATAJA WAKUBWA WAO


Mbunge Wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania kutoka jimbo la Kinondoni, inasemekana ametajwa na wafungwa wa kitanzania waliofungwa jela huko nchini Hong Kong kuhusika na biashara ya madawa ya kulevya.

Taarifa hiyo iliyomhusisha Mbunge huyo na mtandao huo mkubwa wa biashara hiyo ya madawa ya kulevya nchini Tanzania, ilitolewa katika barua maalum iliyoandikwa na mmoja wa Wafungwa katika magereza ya nchini Hong Kong ambapo inasemekana kuna wafungwa wa kitanzania wanaofikia 200.

Kati ya hao wafungwa 200 waliopo magerezani na vizuizini, 130 tayari wameshahukumiwa na 70 bado wanasubiri kesi zao kutajwa. Kuanzia Mwezi wa Tano mpaka wa Sita mwaka huu wa 2013, tayari Watanzania wapatao 50 wameshakamatwa na madawa ya kulevya wakati wakijaribu kuingia katika viwanja vya ndege vya nchi za China na Hong Kong.

Mbali na Hong Kong, pia kumekuwepo na taarifa mbalimbali za raia wa Tanzania ambao wamekatwa na madawa ya kulevya nchini Afrika ya Kusini na kwingineko duniani. Mmoja kati ya waliokamatwa na madawa hayo ni mwanadada mahiri wa Kitanzania ambaye alikuwa mrembo katika video mbalimbali za Bongo Flava anayeitwa Agnes Gerald au kama anavyojulikana na wengi kwa jina la Masogange.

Waraka huo wa mfungwa huyo wa Kitanzania pia umeorodhesha idadi kubwa ya wafanyabiashara wengine nchini Tanzania ambao ni wahusika wakubwa katika biashara hii haramu ya madawa ya kulevya.

Madawa hayo ya kulevya yanasemekana yanaingizwa nchini Tanzania kwa wingi kwa njia ya meli na boti mbalimbali yakitokea katika nchi za Pakistan, Afghanistan na nchi nyingine za Mashariki ya mbali.

Ni muhimu kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzisha kampeni kubwa ya kuwakamata wahusika wote katika biashara hii na kuwafikisha katika vyombo vya sheria, athari za madawa hayo zimezidi kuonekana sehemu mbalimbali nchini Tanzania na dunia nzima.

Soma barua iliyowataja wafanyabiasha hao wakubwa wa madawa ya kulevya nchini Tanzania hapo chini.




Kama ni kweli haya sasa ni majanga

NEW MAISHA CLUB MBEYA IMETISHA, HAIJAWAHI KUTOKEA AFRICA MASHARIKI NA KATI: JIONEE HAPA:



 Jengo la New Club Maisha  Dar kama linavyoonekana kwa nje.
 
 Meneja mkuu wa kampuni ya Entertainment Masters LTD  Kushoto Geoffrey Ndawula. Kampuni hiyo ndio wamiliki wa Club Maisha zote Tanzania 
CONTINUE READING


  Hapa ni ramani ya picha ya wachina hao ambao wamesema kwa ndani Club hiyo itakavyoonekana.
 Sehemu ya kuchezea watu kama inavyoonekana.

 Na Livingstone Mkoi MBEYA.

 Kamapuni inayoongoza kuambukiza virusi vya burudani Tanzania ya Entertainment Masters Limited yenye makao yake makuu Jijini Dar es Salaam imeendelea kutimiza ahadi yake ya kuwafikishia watanzania burudani kila kona ya nchi baada ya kufungua Club mpya Mkoani Mbeya ambayo huenda ikafungulia msimu huu wa sikukuu ya Idd.
Mapapalazi wa Xdeejayz ambao wako kwenye ziara ya kikazi mkoani humo walijionea ujenzi wa Club hiyo mpya  inayosimamiwa na makandarasi toka nchini China na kufanikiwa kuongea na meneja mkuu wa kampuni ya burudani ya Entertainment Masters LTD Geoffrey Ndawula.
Meneja huyo aliiambia Xdeejayz kuwa" Kama tulivyoahidi kuwa azma ya kamapuni yetu ni kuwapelekea watanzania wote burudani huko huko waliko tumenza Mkoani Mtwara kwa mafanikio makubwa na sasa hivi tumetua hapa Mbeya na tutaendelea na mikoa mingine kadri Mungu atakavyotujalia" Alisema Ndawula

Aidha kiongozi huyo aliongeza kusema kwa nini wameajenga Club hiyo mkoani humo." Haya maswali mengi tunaulizwa na mashabiki wetu hasa wa mikoa mingine ambayo huduma yetu haijawafikia, lakini ni dhahili kabisa Mbeya walipaswa kujengewa club ya kisasa kwani wameteseka muda mrefu sana pia tulipokea maombi mengi sana wakihitaji Club Maisha ijengwe hapa hivyo sisi kama bodi ya ungozi wa kampuni yetu tukaamua kufanya hivyo" Alisema meneja huyo.

Hata hivyo ujenzi wa Club Misha hiyo ambao bado unandelea kwa kasi ambapo xdeejayz ilijionea wachina pamoja vibarua wakifanya kazi hiyo kwa kasi kubwa ambapo meneja huyo amesema wanajenga kwa uharaka na huenda sikukuu ya Idd wakaifungua hivyo wanambeya sasa ni zamu yao kula bata hivyo wakae kitako kwa burudani za aina yake

Meneja huyo alishindwa kutoa jengo hilo litatumia thamani ya shilingi ngapi hadi kukamilika licha ya kusema kuwa tayari hadi sasa mamilioni ya shilingi yameshatumika kwenye ujenzi huo

LULU "NAVUTIWA NA BEN POL, PIA NIMEOKOKA SITAKI UJINGA TENA



MUIGIZAJI machachari wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema baada ya kupata misukosuko ya kimaisha, sasa maisha yake ameyaelekeza katika sala kumuomba Mungu amsamehe makosa yake. 


Lulu alisema hayo juzi, katika kipindi cha Friday Night Live (FNL), kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha EATV cha Jijini Dar es Salaam.

“Sasa hivi nasali sana, namuamini Mungu katika maisha yangu na mbali ya kwenda kanisani, pia nasali mwenyewe katika sala zangu.

“Ningependa maisha ya sasa ninayoishi ningeishi siku za nyuma, lakini yote ya Mungu labda maisha yale nisingeyaishi siku za nyuma, ningekuja kuyaishi baadaye,” alisema Lulu.

Katika hatua nyingine, alisema anavutiwa na kazi ya msanii wa bongo fleva, Bernard Paul ’Ben Pol’ ambaye tungo za nyimbo zake zinamkosha kuzisikiliza.
TOA MAONI YAKO HAPA

PADRI ALIYEMTOA NISHAI DADA WA KINGUO CHA UCHI KANISANI ,KULISHITAKI KANISA KWA UDHALILISHAJI ALIOFANYIWA!



 Wakati mwanamke wa aliyetolwa nishai mbele ya madhabahu hivi karibuni wakati wa  ndoa  ametishia kulishitaki kanisa hilo kwa kumdhalilisha.
Lakini  Katekista wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Peter, Yohane Maboko, amesisitiza kuwa alikiuka maadili ya Kanisa.
Mwanamke huyo ambaye ameendelea kukataa kutaja jina lake, huku njia zingine zikimtaja kwa jina la Restituta Kalemera, alidai juzi kuwa kivazi hicho cha mabega wazi hakikuwa tatizo kanisani, bali ni unyanyasaji tu wa Katekista huyo.
Akizungumza  juzi, alidai kuwa Katekista Maboko alimsukuma na kumwangusha katika ngazi ndefu za Kanisa hilo lililoko Oysterbay, Dar es Salaam.

"Wakati Katekista akinitaka nitoke nje, ghafla alinisukuma nikaanguka kwenye ngazi na kudakwa na mtu mwingine aliyeniokoa, la sivyo ningeumia vibaya," alidai.

Alidai kilichomsikitisha ni kudaiwa kutaka kuingia kanisani akiwa amevaa nguo zilizoacha mwili wazi, jambo ambalo si la kweli, kwa kuwa alikwenda kanisani hapo akiwa na kitambaa kilichofunika mwili.

"Nilipofika kanisani, nilikutana na Katekista akimrudisha mtu mwingine, ghafla alitokea bibi harusi aliyevalia nguo ambazo hazikuruhusiwa kanisani, akaniomba skafu niliyokuwa nayo, nikampa nami kubaki wazi mabegani," 
alidai.

Baada ya kuvua kitambaa hicho, alidai alitaka kuingia kanisani ili kuchukua funguo za gari, lakini alikutana na Katekista kwenye ngazi, ambaye alimwamuru atoke nje naye akaendelea kumsihi kuwa anakwenda kuchukua funguo za gari ndani, hata hivyo hawakukubaliana.

Aliendelea kudai, kuwa Katekista alipomsukuma na kuanguka, baada ya kudakwa alichanganyikiwa akidhani kanisani ni sehemu ya malumbano, akakimbilia ndani kutafakari, huku kiatu chake alichonunua nje ya nchi (Uingereza) kikiwa kimeharibika.

Alidai kuwa akiwa kanisani, Katekista alimfuata tena na kumsihi atoke nje, jambo lililosababisha ndugu zake wamzingire kiongozi huyo wa Kanisa na kumhoji kwa jazba, sababu ya kumsukuma ndugu yao na kuhatarisha maisha yake.

Baada ya malumbano huyo, alitoka nje ya Kanisa na kuacha utaratibu mwingine ukiendelea, huku akilalamika kwamba Kanisa ni sehemu takatifu hivyo hapatakiwi kuwa uwanja wa mapigano na kwamba limeacha kazi ya kufundisha na kuomba ielezwe wazi watu wavae nini.

Akijibu tuhuma hizo, Katekista Maboko alimpongeza mwandishi kwa kushuhudia tukio hilo na kutoa habari yake na kuongeza kuwa utaratibu wa jinsi ya kuingia kanisani kwa maharusi, umekuwa ukifundishwa tangu kuandikishwa kwa ndoa hadi mafundisho ya ndoa.

Alisema dada huyo alipofika kanisani hapo, alikuwa na wanawe wawili waliokuwa na mavazi yaliyoacha sehemu za miili yao wazi, na aliwaelewesha lakini yeye akabisha.

"Niliwashika mikono na kuwapeleka uliko ubao ili wasome maelekezo ya kinachotakiwa kuvaliwa, lakini yeye alilazimisha kuingia huku akisema Mungu haangalii mavazi, bali roho," alisema Katekista Maboko na kuongeza kuwa wakati akieleza hayo, ndipo wanandugu walipofika na kumhoji.

Kuhusu miwani yake kuvunjwa, alisema wakati akiwa amezungukwa na watu kama 30 kwa lengo la kumchanganya, aliendelea kujenga hoja kuwa kanisani zipo taratibu zinazotakiwa kuzingatiwa, lakini mmoja wao alitumia nguvu na kuvunja miwani hiyo.

Hata hivyo, alisema mtu huyo aliomba samahani na kulipa kiasi cha fedha, ambapo walipeana mikono kama ishara ya kusameheana.

Katekista Maboko alisema kwa ufupi kilichotokea, ni kukosekana kwa busara kwa waumini hao, kwani vipo vibao vinavyotoa maelekezo juu ya utaratibu unaotakiwa na unaopaswa kufuatwa.


Read more: http://vitukovyamtaa.blogspot.com/2013/07/padri-aliyemtoa-nishai-dada-wa-kinguo.html#ixzz2aMgcPZg1

PART II YA PICHA ZA UTUPU ZA MISS UTALII TANZANIA.NUSRA AJIUE KWA SUMU FAMILIA YAKE YAMTENGA,RAIS WA MISS UTALII TZ AMKALIA KOONI !





 Fathiya Khalfani akiwa jukwaani siku ya shindano la kumtafuta mrembo wa taifa "Miss Utalii Taifa" iliyofanyika mwanzoni mwa mwaka huu Mkoani Tanga.




Rais wa Miss Utalii Tanzania Gideon Chipungahelo" Dad"


Hatimae yametimia zile picha chafu zilizonaswa kwa mara ya kwanza  kisha kusambaa kwenye mitandao mingine sasa zimeonekana kuwa shubiri kufuatia kumtokea puani mrembo Fathiya Khalufan " Mrembo wa Facebook"  kiasi cha kudaiwa kutaka kujiua ili asionekane tena duniani kwa aibu anayoipita.

Baada y wiki moja kupita tangu blog hii kushushiwa cd nzima ya picha za mrembo huyo wa Facebook ambae pia anashikilia taji la ubalozi wa Hotel zote za kitalii Tanzania na kuzirusha kwenye mtandaoni hali imekuwa mbaya kwenye familia ya mrembo huyo.

Habari za uhakika zilizoshuka kwenye ofisi za blog hii toka ndani ya familia hiyo zilisema kuwa Fathiya kwa sasa familia imemtenga kabisa" Jamani muhurumieni ndugu yetu hali ni mbaya hakuna maelewano kabisa kati ya baba mzazi wake pamoja na babaake kwani aibu iliyopo hailezeki msitoe tena kwani mrembo wa facebook mwenyewe amechanganyiwa hajuia la kufanya kanisa" Alisema ndugu huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake.

Aidha ndugu huyo aliendelea kusema kuwa" Juzi kati kataka kujiua kwa aibu baada ya familia yake kumsema sana na kumtamkia wazi wazi kuwa itamtenga ndipo alipotishia kunywa sumu lakini hata hivyo dada mkubwa wake alimchukuwa na kumbembeleza" Kilisema chanzo hicho.

Hata hivyo chanzo hicho pia kilisema kuwa tangu kuapia kwa habari hizo Rais wa Miss Utalii Tanzania nae amemkalia kooni mrembo huyo" Chipungahelo nae ambae ndiye boss wake amehitaji maelezo ya msingi kuhusu picha hizo la sivyo atamfungulia mashtaka kisha atanyang'anywa taji hilo" Alisema dada huyo

Mrembo huyo ambae ametamba sana kwenye filamu ya Mrembo wa facebook na huku kwenye mashindano ya Umiss kitaifa akishikilia taji la Ubalozi wa Hotel zote za kitalii Tanzania.

 bado tunamsaka kwa udi na uvumba rais wa Miss Utalii Taifa Gedion Chipungahelo "Dad" Ili kuelezea hatua watakazozichukuwa kama wao ungozi ili kukomesha tabia hii mbaya kwa warembo wengine ili heshima ya urembo nchini iweze kuaminiwa na wananchi ambapo kwa sasa wengi wao wamepiga marufuku watoto wao kushiriki mashindano mbalimbali ya umiss kwa madai kuwa ni uhuni kwa matukio kama haya.
KUANGALIA PART I YA PICHA ZAKE ZA UTUPU >>BOFYA HAPA<<
CREDIT:XDJAYZ

BBA:ANGALIA VIDEO YA ANGELO & BEVERLY WAKIFANYA YAO:


VIDEO YA MWANACHUO AKIKATA MAUNO NUSU UCHI....


Katika hali isiyo ya kawaida, mwanafunzi mmoja wa kike wa chuo kikuu maarufu hapa nchini ametoa kali ya mwaka baada ya kuamua kupiga chini kitabu na kuanza kukata mauno huku akiwa na kikanga kimoja kiuoni na sehemu kubwa ya mwili wake ikiwa wazi hasa matiti....

Video iko hapo chinihttp://ANGALIA VIDEO HAPA:/