YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Thursday 11 July 2013

KITUKO ALICHOKIFANYA ZAHA SIKU YA KWANZA YA SAFARI YAKE NA MANCHESTER UNITED


MCHEZAJI  mpya aliyesajiliwa na Manchester United kutoka Crystal Palace, Wilfred Zaha alijikuta akiwa kituko na kutia aibu pale alipotinga Uwanja wa ndege na mavazi ya” kibrazamen” wakati wenzake  walitakiwa kuvaa suti kama sare ya kuwatambulisha walipokuwa wakijiandaa kuondoka kwa ajili ya ziara yao ya kujiandaa na msimu unaokuja. 

Alipoulizwa kuhusu wapi alipoacha vazi hilo Zaha hakukumbuka na ndipo msaada wa kumsaidia kutoka kwa maofisa wa Manchester kuanza kushughulikiwa

Hali hiyo ilimfadhaisha mchezaji huyo na kutaka kupanda ndani ya gari lake kuondoka na ndipo akasaidiwa na maofisa wa klabu hiyo waliompatia vazi hilo na kulitinga kabla ya safari hiyo.

Ikiwa ni mara yake ya kwanza kufanya ziara na klabu hiyo toka asajiliwe zaha alijikuta kama mtu mwenye mwanzo mbaya lakini tatizo hilo liliisha mara baada ya kupewa suti nyingine alizozitinga na kupendeza.
ZAHA AKIINGIA UWANJA WA NDEGE NA BEGI LAKE AKIWA NA MAVAZI YASIYO RASMI KWA SAFARI.


WACHEZAJI WA MANCHESTER UNITED WAKIWA  WAMEVAA SUTI KUJIANDAA NA SAFARI
ZAHA AKIWA NA FURAHA MARA BAADA YA KUVAA VAZI LA SUTI LIOLILOWEZA KUMLIONGANISHA NA WENZAKE

CHECK HAPA TID ALIVYOJIACHIA UK, WAZUNGU WAMSHANGAA WAMGEUZA KIVUTIO:


1
T.I.D msanii wa long time kwenye game ya bongoflava tangu enzi za Zeze,Siamini hadi leo hii na Kiuno na bado anafanya vizuri. Wiki kadhaa zilizopita baada ya kumaliza msiba wa mshikaji wake Mangwea, T.I.D alisafiri kwenda England kufanya show ambako huko pia ndiyo alifanya interview inayozungumziwa sana hivi sasa kwenye mitandao. Chukua time kidogo kumcheki T.I.D akiwa kwenye mitaa ya huko UK.

2

3

4

5

6

WEMA NAE AANIKA NYETI ZAKE TENA.








Hii inaonyesha ni jinsi gani mkorogo ulivyomtafuna mmlimbwende Wema sepetu,akija kupata kansa ya ngozi utasikia ohhh nimerogwa mie kumbe mkorogo.

 

MAMA MZAZI WA PROFESA J AFARIKI DUNIA KWA KUGONGWA NA GARI DAR


Profesa J akiwa na mama yake mzazi Bi Rosemary Majanjara Haule enzi za uhai wake.  Picha hii ilipigwa April 4, 2008 katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam  wakati wa sherehe ya uzinduzi wa albamu mpya ya Profesa J ya 'Aluta Continua'
Habari Zilizopokewa Usiku Huu Ni Kwamba Mama Yake Mzazi Msanii Maarufu Wa Muziki Nchini, Joseph Haule A.Ka. 'Profesa J' Amefariki Dunia Usiku Huu Baada Ya Kugongwa Na Gari  Maeneo Ya Mbezi Juu, Jijini Dar es Salaam, Alikokuwa Anaishi Na Mwanae.
Habari Zinasema Marehemu, Bi. Rosemary Majanjara Haule, Aligongwa Na Gari Akiwa Anavuka Barabara Kuelekea Dukani Kiasi Cha Saa Mbili Usiku, Na Kwamba Baada Ya Kugongwa Wasamaria Wema Walimkibiza Hospitalini Tumbi Kwa Kutumia Bajaji Ambako Alifariki Dunia. Taarifa Za Awali Hazijataja Aina Ya Gari Na Kama Baada Ya Ajali Hiyo Lilisimama Au La.
Profesa J Amethibitisha  Hilo Muda Mfupi Uliopita, Na Kusema Inamuia Vigumu Kuamini Imetokea Kwani Anasema Marehemu Mnamo Saa Mbili Hivi Alimpigia Simu Na Kumweleza Kuwa Amepata Ajali Na Kwamba Wakati Huo Yuko Kituo Cha Polisi, Bila Shaka Kupata Fomu Ya Pf 3 Ya Kumuwezesha Kwenda Kutibiwa Hospitali.

"Mama Aliniambia Mwanangu Nimegongwa Na Gari....Njoo Niko Polisi Naandikisha....Mwanangu Nakufa....Aliniambia Mama Na Mara Simu Ikakatika. Kila Nilipojaribu Kupiga Ikawa Haipatikani..." Alisema Profesa J Kwa Uchungu.

Anasema Wakati Anapigiwa Simu Na Mama Yake Yeye Alikuwa Katika Mgahawa Wa Nyumbani Lounge, Namanga, Dar es Salaam, Alikokuwa Katika Kikao Na Lady Jay Dee Na Mumewe Gadna G. Habash, Ambao Baada Ya Taarifa Hiyo Walimsindikiza Hadi Hospitali Ya Tumbi.

"Tulipofika Hospitali Sikuamini Kuona Badala Ya Kupelekwa Wodini Ambako Nilidhani Mama Atakuwa Amelazwa Nikapelekwa Chumba Cha Maiti Ambako Nilimkuta Mama Akiwa Marehemu", Alisema Profesa J Kwa Majonzi.

Global Publishers Inatoa Mkono Wa Pole Kwa Profesa J Kwa Msiba Huu Mzito Na Wa Kusikitisha. Tunamwomba Mola Ampe Nguvu Yeye Na Familia Yake Katika Wakati Huu Mgumu.

Tutaendelea Kuwapasha Kinachojiri Kadri Habari  Zaidi Zitapopatikana. Kwa Sasa Profesa J Na Wadau Wengine Wako Nyumbani Kwake Mbezi Juu.

HABARI MBAYA USIKU HUU: WASANII WATATU WA KIZAZI KIPYA WAFIWA NA MAMA ZAO:



525725_10151289889606495_368789305_n1
Habari ambazo sio nzuri lakini inakupasa kuzipata ni kwamba kiwanda cha bongoflava kipo kwenye majonzi baada ya wasanii watatu kupoteza mama zao katika kipindi cha siku mbili mfululizo.Salamu za rambirambi kutoka millardayo.com ziwafikie wasanii hawa ambao ni Prof Jay na mdogo wake Black Ryhno kwa kumpoteza mama yao pamoja na Z anto ambaye sources zinasema kwamba amempoteza mama yake kwa saratani ya ini. Roho za marehemu zilazwe mahali pema peponi amen.
971487_10151525841873517_471592447_n
Picture
Black Rhyno aliandika haya maneno kupitia ukurasa wake wa facebook

zanto_pointing

HAWA NI WANAFUNZI WA CHUO CHA.....WAKIFANYA MAPENZI LIVE.MZAZI ANAYELIPA MAMILIONI YA HELA SIJUI AKIONA HII VIDEO ATAJISIKIAJE!!


Kiukweli inauma sana kuona wazazi wanamlipia mtoto hela nyingi sana kumbe alichofuata ni Ngono tena anafanya hadharani tena kwa kujirekodi.
Credit:Skendo za mjini