YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Sunday 5 May 2013

HIZI NDIO PICHA ZA TUKIO ZIMA LA MLIPUKO WA BOMU KATIKA KANISA KATOLIKI LA MT. JOSEPH MFANYAKAZI, PAROKIA YA OLASISI YA JIJINI ARUSHA


Hili ndilo kanisa la Mt Joseph lililoko kwenye parokia ya Olasisi iliyoko katika jiji la Arusha
DSCN2220
Waumini na wananchi wengine wakiwa na shauku ya kujua kilichotokea

DSCN2228
Ulinzi umeimarishwa
DSCN2252
Viongozi wa Kanisa wakitoa taarifa ya kilichotokea kwa waandishi wa habari kabla ya Balozi wa Papa kuondolewa Kanisani hapo chini ya ulinzi mkali wa Polisi.
DSCN2227
Hali ya eneo mlipuko ulipotokea
 
DSCN2246
Wanasualama Mkoa wa Arusha, wakijadiliana jambo katika eneo la tukio
 
DSCN2282
Meya wa Manispaa ya Arusha, Mh Gaundence Lyimo akielekea eneo la tukio kwa miguu baada ya utaratibu wa kutumia magari kuwa mgumu kutokana na idadi kubwa ya watu na magari yaliyoziba njia.
 
DSCN2258
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Magesa Mulongo akiteta na RCO wa Mkoa wa Arusha
DSCN2273
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, magesa Mulongo akijiandaa kuzungumza na wananchi kanisani hapo na kuahidi kuwa Serikali itahakikisha watu wote waliohusika na jaribio hilo ovu, pamoja na mtandao wao wanakamatwa. Alidai pia vikosi vya Jeshi maalumu kwa kuchunguza milipuko vitafika eneo hilo ili kufanya uchunguzi. Taarifa za eneo la tukio zinaeleza kuwa tayari kuna mshukiwa mmoja ameshatiwa mbaroni na yuko mikononi mwa Jeshi la Polisi kwa mahojiano na uchunguzi zaidi.
DSCN2255
DSCN2236
Eneo lenye utepe ndipo kitu hicho kinachodhaniwa kuwa bomu kilipoangukia. Pichani unaweza kuona wigi za kichwani na viatu vya waumini vikiwa vimesambaa baada ya wenyewe kuviacha, miongoni mwao wakiwa ni majeruhi.
DSCN2251

DSCN2267
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo akizungumza na mmoja wa mapadri wa Kanisa hilo kupewa maelezo ya kuhusu kilichotokea kanisani hapo.
DSCN2276
Hivi ni baadhi ya viatu vya watu waliokuwa wanakimbia mlipuko wa bomu lililolipuka nje ya kanisa ilo
DSCN2281
Gari la usalama likiingia eneo latukio
DSCN2225
Hawa watoto wakiwa wamepumzika baada ya kukimbia kutokana na bomu lililolipuka nje ya kanisa
DSCN2222

DSCN2215

DSCN2218

DSCN2219