YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Thursday 11 July 2013

HABARI MBAYA USIKU HUU: WASANII WATATU WA KIZAZI KIPYA WAFIWA NA MAMA ZAO:



525725_10151289889606495_368789305_n1
Habari ambazo sio nzuri lakini inakupasa kuzipata ni kwamba kiwanda cha bongoflava kipo kwenye majonzi baada ya wasanii watatu kupoteza mama zao katika kipindi cha siku mbili mfululizo.Salamu za rambirambi kutoka millardayo.com ziwafikie wasanii hawa ambao ni Prof Jay na mdogo wake Black Ryhno kwa kumpoteza mama yao pamoja na Z anto ambaye sources zinasema kwamba amempoteza mama yake kwa saratani ya ini. Roho za marehemu zilazwe mahali pema peponi amen.
971487_10151525841873517_471592447_n
Picture
Black Rhyno aliandika haya maneno kupitia ukurasa wake wa facebook

zanto_pointing

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg