YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Wednesday 26 November 2014

WACHINA NOMA SANA: WATOA COPY YA RANGE ROVER KISHA KULIUZA KWA POUND 14,000 WAKATI ORIGINAL LA UINGEREZA LINAUZWA POUND 40,000 , TAZAMA SAKATA HILO HAPA PIA ORIGINAL NA COPY YAKE!


The hugely popular UK-designed 'baby' off-roader, the £40,000-plus Range Rover Evoque 

Na This Day Magazine
Hili Range Rover Evoque ambalo linauzwa Pound 40,000

Ukisikia Wachina balaa sasa hii ni moja wapo, Kiwanda Kimojawapo cha China kijulikanacho kwa jina la LandWind kimeibuka na Kutengeneza Range Rover Off-Roader  X7 na kuliuza kwa bei Chee kabisa Pound 14,000 ambalo Linafanana kila kitu na Range Rover Jipya kutoka Uingeleza Linalokwenda kwa Jina la Range Rover Off-Roader ambalo wao waingeleza wanaliuza kwa Pound 40,000 ambapo tofauti yake ni Kubwa sana. 

Swala hilo ambalo ni kinyume cha sheria litapelekea Kiwanda hicho kufunguliwa mashitaka kwa kosa hilo la kuiba ujuzi.

Kwa Mara ya kwanza wakati limeingia Dukani wapenzi wengi wa Magari walijua kabisa kuwa lile lilikuwa ni Range Rover evoque kutoka uingeleza ambalo ndilo 'Latest Model' kwa kuwa lilifanana kila kitu , lakini ukweli ni Kwamba Lilikuwa sio bali ni Copy yake tuu ambayo wachina walichakachua
Chinese carmaker LandWind launched its own £14,000 X7 at the Guangzhou motor show in China last week
 Sasa Hili ni Lile la kichina ambalo limezinduliwa wiki iliyopita na Kampuni ya Landwind huko Guangzhou Ni Range Rover X7 na Bei yake ni poa kabisa Pound 14,000 tuu
Je Mdau unaona kuna tofauti yoyote kati ya Magari hayo?

SAKATA LA MFANYABIASHARA MAARUFU DAR KUHUSU DAWA ZA KULEVYA LACHUKUA SURA MPYA!




Mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Muharani Mohammed Abdallah, maarufu kama Chonji(mwenye suti), akiwa chini ya ulinzi.

Vyanzo vyetu makini kutoka jeshi la polisi zinasema kuwa mali zinazochunguzwa kutokana na tuhuma hizo nzito ni maghorofa, fedha pamoja na magari anayomiliki. “Tuliambiwa kuwa huyu bwana alikuwa akiishi maisha ya hali ya juu, sasa kutokana na tuhumza zake polisi wameanza kuchunguza kila alichonacho ili kujua uhalali wake,” kilisema chanzo. 

HALI tete, siku chache baada ya 
mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Muharani Mohammed Abdallah, maarufu kama Chonji kukamatwa na kutupwa gerezani kwa tuhuma za kukamatwa na dawa kulevya, sasa mali zake zimeanza kuchunguzwa.

Chanzo hicho kiliendelea kusema kuwa, kuna baadhi ya watoto wa vigogo

TAARIFA YA KUSIKITISHA!!! WATU SITA WAPIGWA RISASI NA RAIA WA KIGENI ZANZIBAR






Akithibitisha kukamatwa kwa watuhumiwa hao katika matukio tofauti Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi na Makosa ya Jinai Zanzibar Kamishna Msaidizi Mwandamizi Salum Msangi amewataja watuhumiwa hao ambao watafukishwa mahakamani kwa kosa la kumiliki silaha kinyume cha sheria ni Artur Miarka ambaye alikutwa na bunduki na risasi aina ya Shotgun.
 
Aidha Kamishna Msangi ametoa wiki moja kwa wageni wakiwemo wawekezaji na wazalendo ambao wanamiliki silaha kinyume cha sheria kuzisalimisha kabla ya jeshi hilo kuanza oparesheni maalum ya kuzisaka silaha kutokana na kuwepo kwa ongezeko la watu kuwa na silaha Zanzibar.
 
Hili ni tukio la Nne katika kipindi kifupi kwa jeshi la polisi kufanikiwa kuwakamata watu wenye silaha na wengine kukutwa na mabomu kisiwani Zanzibar hali inayowafanya wananchi wengi wahoji hali ya usalama na vipi silaha hizo zinapita bila ya kugundulika

Tuesday 25 November 2014

MASKINI MSICHANA HUYU AFANYIWA KITU MBAYA KATIKA UCHOCHORO HADI KUPOTEZA FAHAMU



Huyu ni msichana ambaye alikutwa katika uchocholo wa club za bar usiku kati ya galax majira ya asubuhi saa 12 akiwa hajitabuhi 

Baadhi ya wanachi wakijaribu kumuongalia bint huyo akiwa ana fahamu huku akiwa katika kichocholo huku nguo zake zikiwa zimechanwa na watu wasifamika mjini kahama.

Askari polisi wa kituo cha polis kahama thomas munyongo akijaribu kumtabua msichana huyo na bila mafanikio na kuomba msanda katika kituo cha polisi .

Baadhi ya watu wakijaribu kumtambua msichana huyo .
kwa picha zaidi bofya soma zaidi


Baadhi ya wanachi wakimchukuwa binti huyo kwenda kwenye gari ya polisi na kupelekwa hospital ya wilaya ya kahama .

Hakiwa katika gari la polisi huku akiwa hana fahamu

Msichana akiwa hospital ya wilaya kahama daktali akijaribu kumkangua kama yuko hai .

Hivi ndivyo msichana alipochukuliwa kupelekwa hospital ya wilaya kahama kwa uchunguzi zaidi

Baadhi ya askari polisi wamtoa msichana ndani ya gari ya polisi baada ya kumfikisha hospital ya wilaya kahama
.

Hivi karibuni mkuu wa wilaya ya kahama Benson Mpesya alipinga marufuku biashara ya ngono katika wilaya yake. kutokana wasichana wengi kufanya biashara hiyo haramu .
Aidha wilaya kahama imekuwa ni sehemu kubwa kwa wasichana kuingia katika biashara ya ukahaba jambo ambalo linafanya wasichana wengi kubakwa na kutupwa katika mitalo ya maji au manyumba yasio kwisha 

MTOTO ALIYEPEWA KIPIGO CHA KUFA MTU KUTOKA KWA HOUSE GIRL HUKO UGANDA, AFYA YAKE INAENDELEA VIZURI.


Mtoto akiwa hospitali anaendelea na matibabu Habari iliyo 'make' headlines kwa siku ya jana mpaka leo na imetokea kuisisimua jamii na kuiamsha kutoka katika usingizi fulani, habari juu ya mtoto aliyepata kipigo cha kufa mtu kutoka kwa house girl, kwa sababu kesi ipo mahakamani, hatuwezi kujaji sana ila tusubiri mahakama itoe tamko lake japo jamii imeshatoa hukumu kali kwa binti huyo hata tukiwa tunasubiri majibu ya mahakama.

Kutokana na kipigo hicho, mitandao mingi iliripoti kuwa mtoto huyo kapoteza maisha kwa sababu ya kipigo kuwa "heavy" sana. Mtoto yupo salama na anaendelea na matibu.

SAHAU KUHUSU YULE BEKI TATU ALIEMPIGA MTOTO>>>JIONEE JINSI DAWA YA KUDHIBITI MA BEKI TATU ILIVYOPATIKANA



No comments:

AISEE HII HATARI SANA ...UNAAMBIWA HUYU MTOTO ATUMIWA KUMWIBA MTOTO MWENZAKE, AKAMATWA... MTAA WAFUNGWA KWA TIMBWILI LA MTOT



Mtoto mwenye umri wa miaka 8 anayedaiwa kutumika kumwiba mtoto mwenzake. Tukio hilo la kushangaza lililonaswa na Ijumaa Wikienda lilijiri wiki iliyopita mishale ya saa 8:00 mchana maeneo ya Majengo Mapya, Kata ya Kihonda jirani na nyumbani kwa aliyekuwa staa wa muziki wa Kizazi Kipya Bongo, marehemu Alberth Keneth Mangweha ‘Ngwea’.Hatari! Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 8 (jina linahifadhiwa kimaadili), mkazi wa Kihonda mjini hapa anayesoma darasa la kwanza kwenye Shule ya Msingi Noto Sosario, anadaiwa kutumika kumwiba mtoto mwenzake kisha kukamatwa na kunusurika kuuawa na wananchi wenye hasira zaidi ya 300.

 
Raia wenye hasira kali wakimsubiri kwa hamu mtoto huyo nje ya nyumba aliyohifadhiwa. 
Akizungumza na mwanahabari wetu, mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo, Mama Seleman alisema: “Mtoto huyu alikamatwa kwa jirani yangu, Asha Tembo akidaiwa kutaka kuiba mtoto wa mama huyo kwa njia za kichawi hivyo mama huyo aliamua kupiga kelele na kumuitia mwizi. 

Kamanda akimbana mtoto huyo kwa maswali. “Mtoto alikuwa amevaa nguo nyeusi ndipo umati ukajitokeza na kuanza kumshambulia kwa maneno makali huku wengine wakimpiga vibaya na kutishia kumuua.
Makamanda wa Polisi wakimchukua mtoto huyo kwa usalama zaidi. “Baada ya kuona watu wanazidi, nikaamua kumwokoa na kumficha ndani kwangu.“Nikiwa ndani umati wa watu ulitishia kuchoma nyumba yangu lakini nilifunga milango kisha nikawaita polisi wakaja kumuokoa mtoto huyo.”
Mtoto huyo akichukuliwa kwenye 'Defender' kuelekea kituo cha Polisi.Kwa upande wake, mtoto huyo alisema: “Bibi ndiye huwa ananituma. Kwa sasa niko kwenye ulimwengu wa giza na mateso makubwa.
Naye mama mzazi wa mtoto huyo, Maria Vicent alisema: “Mwanangu nilimzaa akiwa salama lakini tangu atoke Moshi (Kilimanjaro) kwa bibi yake amekuwa wa ajabu hivyo nimepanga kumpeleka kwenye maombi.”