YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Saturday 3 November 2012

MAGIC FM NA DTV WAFUNIKA UWANJA WA JAMHURI DODOMA LEO KATIKA UZINDUZI WAO KWA UDHAMINI WA WINDHOEK BEER


 Umati mkubwa uliofurika uwanja wa Jamhuri kushuhudia uzinduzi wa Magic Fm na Dtv chini ya udhamini mkubwa wa Windhoek Beer.
 
 

 Maelfu wakifuatilia mtiririko wa Onyesho hili la aina yake mjini Dodoma.
 Anaitwa Bibi Cheka akiwajibika jukwaani, Pembeni ni Msanii Dogo Asley.
Msanii mwenye sauti ya aina yake PNC akifanya yake ndani ya Uwanja wa Jamhuri  mjini Dodoma katika uzinduzi wa Magic FM na DTV .
 VINYWAJI AINA YA WINDHOEK TAYARI KWA KUUZWA TSH 2500 TU!
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi akizindua rasmi Magic Fm na Dtv Mjini Dodoma

BRIDGET ALFRED REDDS MISS TANZANIA 2012

Bridget Alfred Redds Miss Tanzania 2012


Huyu ndiye Bridget Alfred Redds Miss 
Redd's Miss Tanzania 2012,Bridgit Alfred (katikati) akiwa na mshindi wa Pili,Eugene Fabian (kushoto) na Mshindi wa Tatu,Edda Sylvester (kulia) mara baada ya kutangazwa mshindi wa Redd's Miss Tanzania 2012 iliyomalizika usiku huu katika ukumbi wa hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar.
 Redd's Miss Tanzania 2012,Bridgit Alfred akirurahia mara baada ta kutangazwa mshindi katika shindano lililomalizika hivi punge kwenye ukumbi wa
hoteli ya Blue Peal,Ubungo Plaza jijini Dar.
 

SHOO KALI ALIOIFANYA DIAMOND ARUSHA

Hii Jeep ndio gari niliyokuwa nikiitumia nilipowasili Arusha….
Usalama wa kutosha….
Moja ya wasanii wa Hip Hop kutoka A-town wakifanya yao….
Jcb & Nakaaya walifanya show ya pamoja na ilikuwa kali sanaaaa….
Asili uwa haipotei wala kusahaulika….
                                                              Wasafi…
                                             Mpango mzima ulianzia hapa…..
Burudani haina mipaka… ikikolea mpaka kwa mshabiki huwa najitahidi nifike………
Hatuishii juu ya stage…… popote kwetu ni burudani….