YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Saturday 3 November 2012

SHOO KALI ALIOIFANYA DIAMOND ARUSHA

Hii Jeep ndio gari niliyokuwa nikiitumia nilipowasili Arusha….
Usalama wa kutosha….
Moja ya wasanii wa Hip Hop kutoka A-town wakifanya yao….
Jcb & Nakaaya walifanya show ya pamoja na ilikuwa kali sanaaaa….
Asili uwa haipotei wala kusahaulika….
                                                              Wasafi…
                                             Mpango mzima ulianzia hapa…..
Burudani haina mipaka… ikikolea mpaka kwa mshabiki huwa najitahidi nifike………
Hatuishii juu ya stage…… popote kwetu ni burudani….

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg