YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Tuesday 25 November 2014

MASKINI MSICHANA HUYU AFANYIWA KITU MBAYA KATIKA UCHOCHORO HADI KUPOTEZA FAHAMU



Huyu ni msichana ambaye alikutwa katika uchocholo wa club za bar usiku kati ya galax majira ya asubuhi saa 12 akiwa hajitabuhi 

Baadhi ya wanachi wakijaribu kumuongalia bint huyo akiwa ana fahamu huku akiwa katika kichocholo huku nguo zake zikiwa zimechanwa na watu wasifamika mjini kahama.

Askari polisi wa kituo cha polis kahama thomas munyongo akijaribu kumtabua msichana huyo na bila mafanikio na kuomba msanda katika kituo cha polisi .

Baadhi ya watu wakijaribu kumtambua msichana huyo .
kwa picha zaidi bofya soma zaidi


Baadhi ya wanachi wakimchukuwa binti huyo kwenda kwenye gari ya polisi na kupelekwa hospital ya wilaya ya kahama .

Hakiwa katika gari la polisi huku akiwa hana fahamu

Msichana akiwa hospital ya wilaya kahama daktali akijaribu kumkangua kama yuko hai .

Hivi ndivyo msichana alipochukuliwa kupelekwa hospital ya wilaya kahama kwa uchunguzi zaidi

Baadhi ya askari polisi wamtoa msichana ndani ya gari ya polisi baada ya kumfikisha hospital ya wilaya kahama
.

Hivi karibuni mkuu wa wilaya ya kahama Benson Mpesya alipinga marufuku biashara ya ngono katika wilaya yake. kutokana wasichana wengi kufanya biashara hiyo haramu .
Aidha wilaya kahama imekuwa ni sehemu kubwa kwa wasichana kuingia katika biashara ya ukahaba jambo ambalo linafanya wasichana wengi kubakwa na kutupwa katika mitalo ya maji au manyumba yasio kwisha 

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg