YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Tuesday 18 June 2013

MBOWE:MABOMU YAMERUSHWA NA POLISI KWA MAAGIZO



"Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema polisi wanahusika na milipuko katika mkutano wa CHADEMA na kuua watu watatu.

Mh Mbowe amesema ana ushahidi na picha za video za tukio hilo.

Mh Mbowe alisema hayo akihojiwa na ITV" From Jamii forums

Pia nape nae amekaririwa akisema chadema wenyewe ndio wamehusika na bomu hilo...
Sasa hapo sijui tumwamini nani ?
My take 
---------
Hapa inawezekana hakuna kati yao aliyehusika but ni mtu we pembeni sasa havi amekaa anakunywa kahawa akichekelea jinsi wanavyozozana....Hivyo wasubiri uchunguzi wa Dola ..haya wanayoyasema bila uchunguzu yanatuchanganya tu ..

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg