YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Thursday 17 January 2013

HOUSE GIRL AJINYONGA MAENEO YA TABATA SHUHUDIA HAPA


Dada wa kazi za nyumbani wa eneo la Tabata Barakuda aliyejiua jana saa moja usiku na bado chanzo hakijulikani
Machela ya kubebea mwili wa marehemui ilifika
Waliuingiza mwili wa mdada huyu mwenzetu na kuondoka nae ambapo blog hii itaendelea kuwajulia taarifa kuhusiana na kile kilichomsibu mdada huyu
Watu wakiuchungulia mwili wa marehemu
Umati wa watu ulikusanyika kujua nini chanzo
Inasemekana kuwa hilo ni tukio la pili kujitokeza katika eneo hilo
Hapa kazi yao ikiendelea ya kuhoji wahusika
Maaskari Polis wa kituo cha Rozana wakichukua maelezo

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg