YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Tuesday 19 March 2013

HUYU NDIYE MWANAUME ZOBA ANAYETONGOZA MABINTI KWA KUWATUMIA PICHA ZAKE ZA UCHI...


Huyu ni  mwanaume  mtu  mzima  ambaye  hujipiga  picha  chafu  za  uchi  na  kuzituma  kwa  warembo ili  awanase kimapenzi......

Mtandao  huu umefanikiwa  kuzinasa  picha  6  za Mwanaume  huyu aliyetambuliwa  kwa  jina  la  Moses Kadey ....

Kati ya picha  hizo, 5  yuko  mtupu  akijinadi  na  moja  kavaa  kikazi.

Akiongea na mtandao  huu, mmoja  wa  wasichana  hao   amedai  kuwa  jamaa  huyo  amekuwa  akizituma picha  hizo  kwa  warembo  saba  ambao  kwa  bahati  nzuri  au  mbaya  ni  MARAFIKI.

"Huyu mtu anaitwa Mosses Kadey amekuwa anatutumia mipicha ya ajabu eti anatutongoza mimi na rafiki zangu karibia 7 wote anatutumia mipicha kama hii au mbya zaidi hata kuonyesha aibu jamani akome"....Alifunguka  mrembo  mmoja  mbele ya mpekuzi wetu



Tunawapongeza warembo  hao kwa uamuzi wao wa busara  wa KUMKIMBIA  FATAKI  HUYU

Hii  ni  mara  ya  kwanza  kushuhudia  mwanaume  akimtongoza   binti  kwa  kutumia  picha  za  uchi.....Kama   ni  mzuri  ni  mzuri  tu......

Ni  vyema  jamii  ikajifunza  kutokana  na  matukio.Mapenzi  ya  picha  za  uchi  ni  sumu   na  ni  aibu  ya  milele....

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg