YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Wednesday 3 July 2013

Video: Wema Sepetu akiporomosha matusi ya nguoni kwa mlinzi baada ya gari lake kuibiwa power window likiwa ndani kwake


Msanii nyota wa Bongo movie, Wema Sepetu, leo hii amejikuta akitoa matusi ya nguoni kwa mlinzi wake baada ya kukuta gari lake likiwa limeibiwa power window na betri la gari lake kuchomolewa.
hali hiyo imetokea nyumbani kwake Kijito nyama, pale alipokuwa akijaribu kuwasha gari lake na kuondoka.
video hii inaonyesha masjirani waliposkia kelele za matusi kutoka kwa mwanadadiva huyo waliamua kupanda sehem na kuchukua video ya kilichokuwa kikiendelea kwa kujificha.

Wema akimkimbiza mfanyakazi wake huku akiwa na beseni lenye maji
Mlinzi sa sijui alikuwa anaiwaza segerea au amechoka kwa mbio zilizokuwa zikiendelea humo ndani, au ndio zile "mungu wangu ntafanyaje mie mtoto wa watu"

 

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg