YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Monday 23 September 2013

PICHA ZINGINE NAMNA DAMU ILIVYOMWAGIKA KENYA,TAHADHARI PICHA ZINGINE NI MBAYA SANA



Mwanamke aliyekuwa amejeruhiwa akiomba msaada
September 21, ni tarehe ambayo Kenya haitoisahau kamwe. Ni baada ya kundi la wanamgambo wa Al-Shabab lilipoishambulia mall ya Westgate maarufu kwa kuwa na wateja matajiri jijini Nairobi na kuwashikilia watu mateka, kuwaua na kuwajeruhi wengine.

   Familia ikiwa imeshikana mikono wakati ikitoka nje ya eneo la hatariFamilia ikiwa imeshikana mikono wakati ikitoka nje ya eneo la hatari
 article-2427892-182485E800000578-152_964x631130921145130-25-kenya-mall-restricted-horizontal-gallery130921103725-07-kenya-mall-horizontal-galleryMashuhuda wanasema watu hao waliokuwa na silaha, wakiwa na nguo nyeusi na vichwa vyao vikifunikwa na vilemba waliingia kwenye mall hiyo ya Westgate jana mchana. Mpaka sasa, idadi ya watu walioshikiliwa mateka ndani ya mall hiyo haijajulikana.Mama na wanae akiwa amejificha kuhofia kuuawa na watu hao makatiliMama na wanae akiwa amejificha kuhofia kuuawa na watu hao makatiliMfanyakazi wa Red Cross akimbeba mtoto aliyekuwa ndani ya mall hiyoMfanyakazi wa Red Cross akimbeba mtoto aliyekuwa ndani ya mall hiyoMtoto akikimbia kuokoa maisha yakeMtoto akikimbia kuokoa maisha yakeMtoto akiwa nje baada ya kutolewa ndani ya mall, pembeni ni mwili wa mtu aliyeuawa
Mtoto akiwa nje baada ya kutolewa ndani ya mall, pembeni ni mwili wa mtu aliyeuawa
Zaidi ya watu 40 wameripotiwa kuuawa na zaidi ya 162 wakijeruhiwa.Mtu na mpenzi wake waliouwa kwa pamoja na wanamgambo haoMtu na mpenzi wake waliouwa kwa pamoja na wanamgambo haoMwanamke akilia kwa woga baada ya kuokolewa na askariMwanamke akilia kwa woga baada ya kuokolewa na askariMwanamke aliyejeruhiwa akitolewa nje kwa kubebwa kwenye toroli la kufanyia shoppingMwanamke aliyejeruhiwa akitolewa nje kwa kubebwa kwenye toroli la kufanyia shoppingMwanamke aliyekuwa ameshikiliwa mateka akiwa haamini baada ya kuachiwaMwanamke aliyekuwa ameshikiliwa mateka akiwa haamini baada ya kuachiwaOfisa wa usalama na wenzake wakielekezana na wenzake mahali walipo watu hao wenye silahaOfisa wa usalama na wenzake wakielekezana na wenzake mahali walipo watu hao wenye silahaPolisi akisaidia kumtoa mtoto aliyekuwa ndani ya mallPolisi akisaidia kumtoa mtoto aliyekuwa ndani ya mallPolisi na wanajeshi wakipambana na magaidi haoPolisi na wanajeshi wakipambana na magaidi hao Mashuhuda wengine wamedai kuwa wanamgambo hao waliwaambia waislamu waondoke na wabaki waumini wa dini zingine. “Walisema na kusema: ‘Kama wewe ni muislamu, simama. Tumekuja kuwaokoa,” Elijah Lamau aliiambia BBC. Alisema waislamu waliondoka wakiwa wamenyoosha mikono juu na kisha watu hao wakawapiga risasi watu wawili.Polisi wa Kenya akiwa ameshika tumbo lake baada ya kujeruhiwa huku mwenzake akiendelea kurushiana risasi na magaidi wa Al-ShababPolisi wa Kenya akiwa ameshika tumbo lake baada ya kujeruhiwa huku mwenzake akiendelea kurushiana risasi na magaidi wa Al-ShababPolisi wakiingia ndani ya mall hiyo kupambana na wana mgambo wa Al-ShababPolisi wakiingia ndani ya mall hiyo kupambana na wana mgambo wa Al-ShababPolisi wakipambana na Al-shababPolisi wakipambana na Al-ShababRais wa Canada Annemarie Desloges, 29, aliuawa kwa risasi na magaidi haoRaia wa Canada Annemarie Desloges, 29, aliuawa kwa risasi na magaidi haoWanajeshi walimwaga kwenda kusaidia kupambana na watekaji wa kundi la kigaida la Al-shababWanajeshi walimwaga kwenda kusaidia kupambana na watekaji wa kundi la kigaida la Al-ShababWananchi wa mataifa mbalimbali waliokuwa wakifanya shopping kwenye mall hiyo wakiwambia kuinua mikono yao kuonesha hawana silahaWananchi wa mataifa mbalimbali waliokuwa wakifanya shopping kwenye mall hiyo wakiwambia kuinua mikono yao kuonesha hawana silaha Gaidi mmoja alikamatwa jana na kufa kutokana na majeraha. Maafisa wa Kenya wameimbia BBC kuwa wengine wanne wamekamatwa

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg