YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Thursday 18 September 2014

EXCLUSIVE: CHRIS BROWN KUTUA BONGO KWENYE SERENGET FIESTA


Habari zilizopo chini ya kapeti ambazo bado hazidhibitishwa ni kwamba yale nyota wa R&B anayedwa na kukubalika na wengi ambapo umaarufu wake umeweza kuongezeka mara dufu kutokana na kutoka kimapenzi na Rihanna ... Ambapo wabongo wameweza kufananisha mapenzi ya Diamond na Wema Sepetu ni kama Chris na Rihanna.. Sasa unaambiwa Mazungumzo ya mwisho ya kukubaliana ndio yanafanyika na pia kama watakubaliana vizuri Chris Brown kutua Bongo bila utata hiyo .. Na kiingilio kikiwa sh elfu 50 wala msishangae

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg