YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Monday 20 October 2014

HICHI NDIO KILICHOMFANYA T.I KUKERWA NA KUWATUKANA MASHABIKI WAKE...SOMA HAPA KUJUA UNDANI ZAIDI



T.I-ndani-ya-Serengeti-Fiesta-Dar
Rapper T.I ameamua kuvunja ukimya na kutoa matusi kwa mashabiki wake waliokuwa wakimkejeli na kumtukana kwa uamuzi wake wa kuja Africa
Katika moja ya picha zake kupitia ukurasa wake wa insta aliyokuwa ameituma akiwa Tanzania, mashabiki wake kutoka marekani walimshambulia kwa kuchukua uamuzi wa kuja Africa wakati akijua wazi kuna ugonjwa wa Ebola, na hata kudiriki kusema “ndio maana ugonjwa huo unawafikia wamarekani.
Baada ya comment za aina hiyo kuongezeka kwa kasi T.I aliamua kuvunja ukimya na kumkibu mmoja wa mashabiki hao aliedai kuwa “Ebola ipo huko na bado mnasafiri???ndio maana ugonjwa huo umefika US

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg