YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Saturday 24 February 2018

WAOMBA KITUO CHA AFYA WAFUGIE MIFUGO


Leo February 23, 2018 Wakazi wa Kijiji cha Mtegu kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Tandahimba Mkoani Mtwara wamelalamikia kuwepo kwa sintofahamu ya kufunguliwa kwa kituo cha Afya kijijini hapo ambacho kimejengwa kwa nguvu zao tokea mwaka 2006 kupitia makato ya Shilingi 50 kwa kila kilo ya zao la korosho kwa ahadi ya kufunguliwa mwezi September, 2018 ahadi ambayo haijatekelezeka.
Wakazi hao wamesema kuwa ujenzi wa kituo hicho ulianza tangu mwaka 2006 na kukamilika May 17, 2108  lakini hadi sasa hakuna huduma yeyote ya afya ilioanza kutolewa licha ya wakazi hao kutembea umbali Kilometa 35 kufuata huduma katika kijiji cha luagala.
KILICHOAMULIWA KUHUSU KUAHIRISHWA KESI YA DR. TENGA LEO

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg