YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Tuesday 21 August 2018

KAMA UNATAKA KUWA MUHUDUMU KATIKA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI


wahudumu wa vyumba vya kuhifadhia maiti
Wafanyakazi wa chumba cha kuhifadhi maiti katika hosptali nyingi nchini Tanzania wamekuwa wakifanya kazi kwenye mazingira magumu bila ujuzi wowote.
Wafanyazi hao huonekana ni watu wa tofauti kwenye jamii, huku wakikabiliwa na changamoto mbalimbali na wengine kufikia hatua ya kutengwa na jamii wakiwaogopa.
Katika kukabiliana na changamoto hizo sasa baadhi ya hosptali nchini humo zimeanza kutoa mafunzo maalumu kwa wafanyakazi hao ili waweze kutekeleza majukumu yao ipasavyo.

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg