YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Thursday 30 August 2018

KATIBU MKUU WA CCM DR. BASHIRU AUNGURUMA


August 30, 2018 Katibu Mkuu wa CCM Dr. Bashiru Ally amesema kuwa amemuita mmoja wa mawaziri wa Serikali ya awamu ya tano aeleze kuhusu tuhuma za kumiliki ardhi ya ekari elfu moja (1,000) ili aeleze amezipataje.
Nilikuwa Morogoro akatajwa Waziri mmoja kuwa ana ekari elfu moja watu wanataka kujua amezipataje, na nitamuita anieleze amezipataje. Hatuwezi kuwa na viongozi ndani ya chama tunachokiita chama cha wanyonge alafu baadhi yetu tunapora ardhi ya wanyonge. Ni suala la kuchagua kati ya kuwa kiongozi wa CCM au kuwa mporaji wa ardhi.” –Dr. Bashiru Ally

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg