YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Friday 17 August 2018

RC MAKONDA ATOA NENO UZINDUZI WA ANWANI ZA MAKAZI NA POSTCODE


August 17, 2018 Mkuu wa Mkoa wa DSM Paul Makonda leo amefungua semina ya kimkakati iliyoandaliwa na TCRA inayolenga kulifanya jiji la DSM kuwa katika mpangilio wa kisasa na kuhakikisha mitaa yote inawekwa katika mfumo wa anwani za makazi na Postcode.
RC Makonda amesema Mfumo huo ni ukombozi kwa wananchi kwakuwa utarahisisha huduma na kuwezesha kila mwananchi kuwa na anwani, kuwasaidia wageni kujua maeneo, kudhibiti wezi na matapeli, na kusaidia Jeshi la zimamoto na uokoaji kufika haraka kwenye eneo lenye tukio. 


No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg