YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Saturday 4 August 2018

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII Mh. KIGWANGALA APATA AJALI ASUBUHI YA LEO

Waziri wa Maliasili na Utalii Mh Hamis Kigwangala amepata ajali asubuhi ya leo eneo la Magugu alipokuwa akitokea Arusha kwenda Manyara. Taarifa iliyothibititshwa na RPC mkoa wa Arusha inasema Afisa habari wa Wizara Ndugu @Hamza Temba amaefariki dunia katika ajali hio huku Mh waziri akiwa na majeraha lakini hali yake sio nzuri.
Tunakuombea Mungu akuponye na Kuipa Faraja familia ya Ndugu yetu mwanahabari mwenzetu Hamza Temba kwa kuondokewa na Kijana wao.
R.I.P Hamza Temba

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg