YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Monday 3 September 2018

"NIACHENI NIWATIE ADABU" MANENO YA FRED LOWASSA


Mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Fred Lowassa ameibukia katika mkutano wa kampeni za uchaguzi Jimbo la Monduli na kuwataka aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo Julius Kalanga na Isack Joseph maarufu Kadogoo, kukaa kimya kwani anawafahamu kuliko wanavyojifahamu.
Akizungumza kwenye mkutano wa kumnadi Mgombea wa CHADEMA amesema, amelazimika kuwajibu vijana hao kutokana na kuendelea kumchafua Mzee Lowassa. “Kama kuwatia adabu hawa vijana niachieni mimi, ntawatia adabu ninawafahamu vizuri sana”
LOWASSA amesema “Kalanga si rizki ameharibu heshima yetu”

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg