YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Tuesday 5 March 2013

MTANDAO WA GOOGLE ULIMUENZI MIRIAM MAKEBA KWA KUFANYA HIVI.


2
.
.
Kwa kumuenzi staa wa muziki kutoka Afrika Kusini ambae ni mshindi wa tuzo ya Grammy, Marehemu Miriam Makeba.. Mtandao wa Google uliamua kumuenzi kwenye siku yake ya kuzaliwa ambayo ni March 4 2013 ambapo kama angekua hai angekua amefikisha miaka 81.
Google waliamua kuweka mchoro kumuenzi staa huyu kwenye search engine na kuziba herufi g kwa mchoro wa Miriam Makeba ambae alifariki kutokana na mshtuko wa moyo mwaka 2008 akiwa kwenye tour Italia.

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg