YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Sunday 16 February 2014

HAKI YA MUNGU HUYU DOGO KAMA ALIKUWA ANAJIFUNZA UWIZI KWA BALAA HILI LILILOMKUTA HATA AKIONA SHILINGI MIA BARABARANI HAOKOTI


Na Mwandishi wa Xdeejazy Dar
Kijana mmoja asiyefahamika jina lake jana mchana alijikuta akichungulia umauti kufuatia kuchezea kichapo cha mbwa mwizi kwa kosa la uwizi wa simu.


Tukio hilo lililorusha kwenye mtandao mmoja ilieleza jinsi kijana huyo alivyokuwa anawaimbia wananchi mtaani kwao ambako hata hivyo haikufahamika ni mitaa gani.
Wananchi wengi walijikuta wakisema kuwa kwa kipigo kile kijana huyo kama atarudia kumuibia mtu tena basi atakuwa na roho ya chuma si ya wanadamu wa kawaida na huenda hata akiona shilingi mia barabarani haiguzi kwa kuogopa kipigo.

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg