YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Wednesday 24 September 2014

BREAKING NEWS!!!MAANDAMANAO YA AMANI YA CHADEMA MANISPAA YA BUKOBA YAFANIKIWA


 Maandamano hayo yamefanyika katika kipindi ambapo polisi mkoani Kagera hasa katika manispaa ya Bukoba, wamejipanga na kuzunguka maeneo yote ya mji huo lakini wakashindwa kuwazuia waandamanaji hao, na hatuna uhakikka kama kweli wamewaona.
 

 
Gari la polisi likiwa na askari kadhaa waliojidhatiti tayari kuzuia maandamano ya CHADEMA
Maandamano ya CHADEMA kata kwa taka yamefanyika, ambapo CAMERA yetu imefanikiwa kukutana na msafara wa chama hicho katika kata ya Kibeta, ambapo wameandamana kutokea ndani ya kijiji cha Kibeta na kutokea eneo la Mjuju. 

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg