YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Wednesday 19 November 2014

Binti Wa Miaka 5 Abadilisha Maisha Ya Familia Yake.


Binti Mdogo Abadilisha Maisha Ya Familia Yake Kutoka Katika Hali Ya Kawaida Na Kuwa Katika Maisha Ya Hali Ya Juu,Jina Lake Anaitwa Breanna.


 Nyota Ya Mtoto Huyu Iling"ara Pindi Mama Yake Alipopost Picha Zake Katika Mtandao ambapo Alipata MashabikiZaidi Ya Milioni Moja  Waliomfolo Kupitia Page Yake Ya Instagram.

Breanna Anatokea Korea Kusini Lakini Kwa Sasa Anaishi Dubai Na Familia Yake,Amepata Mialiko Mbali,Mbali Ya Kwenda Kufanya Dili Za Uwana mitindo Na Sehemu Ambazo Ameshatembelea Bahrain Na Indonesia.

Breanna anabeba Mikoba Ya Gharama Kubwa Ikiwemo Louis Vuitton,Channel Na Kuvaa Nguo Za Wabunifu Wakubwa Duniani,Wakati Mwingine Mama Yake Anapata Hofu Kubwa  Juu Ya Binti Yake Na Kuhofia Ukuwaji Wake Kulingana Na Umaarufu Aliokuwa Nao.

Inapotokea Anaumwa Basi  Hupata   E-Mail Nyingi Kutoka Nchi MbaliMbali Kutaka Kujua Breanna.
 Kwa Sasa Ni    Gumzo Kwa Breanna Na Familia Yake Pindi Wanapopita Mitaani Kila Anae Muona anamshangaa na Kutaka Kupiga Nae Picha .











No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg