YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Tuesday 21 June 2016

DEREVA WA HALIMASHAURI AGEUKA MUHASIBU.

Upungufu wa watumishi katika kituo cha afya cha Likombe manispaa ya Mtwara Mikindani, kimepelekea dereva wa kituo hicho Ally Mchanyambi kutumika kukusanya mapato ya kituo,hali iliyowashangaza madiwani wa halmashauri hiyo na kutoa agizo kwa mkurugenzi  wa manispaa hiyo kumuondoa kwenye nafasi hiyo mara moja  na nafasi ijazwe na mtumishi mwenye sifa za uhasibu .

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg