YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Wednesday 5 September 2012

TAHADHARI YA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA KUHUSU MVUA ZA EL NINO NDIO HII.




0
Madhara ya mvua mabondeni.
Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania imetoa tahadhari ya uwepo wa mvua kubwa zinazofahamika kama El nino katika kipindi cha kuanzia wiki ya nne ya mwezi September hadi kufikia December 2012 katika maeneo mbalimbali Tanzania.
Mkurugenzi mkuu wa mamlaka hiyo Dr. Agnes Kijazi amesema hizo mvua zinatarajiwa kusababishwa na mgandamizo mkubwa wa mfumo wa hewa kutoka katika misitu iliyo katika ukanda wa bahari ya hindi, tahadhari iwafikie wote wakiwemo wakulima na wanaoishi kwenye maeneo ya mabonde.

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg