YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Saturday 10 November 2012

MADUDE MAPYA KWA HEWA....

MWASITI ASEMA SABABU YA KURUDIA WIMBO ULIOIMBWA NA AMINI 'YAMETEKA DUNIA'

Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka THT ameeleza sababu ya kurudia wimbo uliowahi kuimbwa na Amini 'Yameteka Dunia'..MSIKILIZE hapo chini..na kama hujasikia wimbo huo aliourudia ingia kwenye MUSIC uusikilize

SAIDI FELA AZUNGUMZIA SABABU YA KUCHELEWA KWA FILAMU YA TMK WANAUME FAMILY 'KICHWA KINAUMA'

Meneja wa Kundi la TMK Family na Mmiliki wa kituo cha Mkubwa na Wanae anayeonekana pichani akimsalimia Mh Raisi Jakaya Kikwete, Saidi Fella ameeleza sababu ya kuchelewa kwa Filamu ya kundi hilo ambayo walitangaza toka mwaka jana kuwa ishafanyika MSIKILIZE...akieleza nini ambacho kinasababisha Filamu hiyo isitoke ambayo wasanii wa TMK Chege na Mh Temba ndo wahusika wakuu.

NGOMA MPYA KUTOKA KUNDI LA CHAMBER SQUAD

Mmoja wa wasanii wanaounda kundi la Chamber Squad Ngwair, wasanii wengine ni kama Noorah,Mez B na Dark Master...SIKILIZA ngoma yao ya kundi

NGOMA MPYA KUTOKA KUNDI LA WEUSI


No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg