YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Tuesday 9 April 2013

WABUNGE TZ WALIVYOKULA MSOTO JESHINI


Na Mwandishi Wetu
WABUNGE katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambao walihudhuria mafunzo ya kijeshi katika kambi tofauti za Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), walipata msoto wa nguvu.
Kutoka kushoto: Halima Mdee, Ester Bulaya na Neema Hamid.
Tofauti na ilivyokuwa ikidhaniwa kwamba wabunge hao wangepewa mafunzo kwa kubembelezwa kutokana na nafasi zao, walikutana na msoto wa nguvu mwanzo hadi mwisho.
Kuonesha jinsi ambavyo msoto ulikuwa wa nguvu, katika kambi ya Tanga, siku tu ya utambulisho, mbunge wa Chadema (jina tunalo), alizimia.
Vilevile, kwenye Kambi namba 832, Ruvu, Pwani, Mbunge wa Tarime, Nyambari Nyangwine, alishindwa kuhimili kishindo cha depo, hivyo akatoroka, japo mafunzo yenyewe yalikuwa ya muda wa wiki tatu tu.
Baadhi ya wabunge wakiwa katika pozi na wanajeshi wengine.
ILIKUWA KAZI KWELI
Siku ya kwanza tu ya kuripoti kambini, wabunge wote walipigwa vipara na baada ya hapo, ilifuata awamu ya kupima afya.
“Jeshi ni jeshi tu, tulipimwa ukimwi bila hata kuandaliwa wala kupewa ushauri,” alisema mmoja wa wabunge waliohudhuria depo hiyo (jina tunalo) kisha akaongeza: “Mfano mimi ningeambiwa kule kuna kupima ukimwi hata nisingeenda, nilikuwa sijapima kama miaka saba, dah kule ni hatari.”
Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee, akinyolewa nywele.
KUHUSU VIPARA
Mbunge mwingine alisema: “Walichotuweza ni ile tunaripoti tu, tunanyolewa vipara halafu ndiyo taratibu nyingine zinafuata. Kama wangekuwa wanatuonesha picha ya kile kitakachofanyika kabla ya kutunyoa, wengi wetu tungetimka mapema.
“Tatizo unanyolewa halafu ndiyo unapelekwa kupimwa ukimwi, sasa ukikataa kupima na una kipara chako, mtaani utarudi vipi? Hata kunyoa, wengine tuliingia na rasta, lakini wakatupiga upara wa wembe harakaharaka bila hata kungoja kuzifumua.”
...Wakiwa mazoezini.
MAFUNZO YANA FAIDA?
Mbunge wa Viti Maalum kwa tiketi ya Umoja wa Vijana wa CCM, Mkoa wa Mara, Ester Bulaya, alisema kuwa anashukuru kupata mafunzo ya kijeshi, kwani yamemjenga kwa kiasi kikubwa.
“Japo ni kazi lakini tunatamani muda uongezwe, maana wiki tatu zilikuwa fupi, program ni nyingi, kwa hiyo tukatakiwa kufanya kwa pamoja,” alisema Bulaya kisha akaongeza: “Imenijenga kweli, najiona mkakamavu mwenye uwezo zaidi wa kutumikia wananchi.”
Kwa upande wa Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee, alisema: “Natamani kila mtu awe anapitia mafunzo ya JKT, maana siyo tu yanakujenga kiukakamavu, bali pia yanakupa uzalendo na ari ya kuwatumikia wananchi.”
...Wakiwa katika picha ya pozi.

WABUNGE TZ WALIVYOKULA MSOTO JESHINI


Na Mwandishi Wetu
WABUNGE katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambao walihudhuria mafunzo ya kijeshi katika kambi tofauti za Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), walipata msoto wa nguvu.
Kutoka kushoto: Halima Mdee, Ester Bulaya na Neema Hamid.
Tofauti na ilivyokuwa ikidhaniwa kwamba wabunge hao wangepewa mafunzo kwa kubembelezwa kutokana na nafasi zao, walikutana na msoto wa nguvu mwanzo hadi mwisho.
Kuonesha jinsi ambavyo msoto ulikuwa wa nguvu, katika kambi ya Tanga, siku tu ya utambulisho, mbunge wa Chadema (jina tunalo), alizimia.
Vilevile, kwenye Kambi namba 832, Ruvu, Pwani, Mbunge wa Tarime, Nyambari Nyangwine, alishindwa kuhimili kishindo cha depo, hivyo akatoroka, japo mafunzo yenyewe yalikuwa ya muda wa wiki tatu tu.
Baadhi ya wabunge wakiwa katika pozi na wanajeshi wengine.
ILIKUWA KAZI KWELI
Siku ya kwanza tu ya kuripoti kambini, wabunge wote walipigwa vipara na baada ya hapo, ilifuata awamu ya kupima afya.
“Jeshi ni jeshi tu, tulipimwa ukimwi bila hata kuandaliwa wala kupewa ushauri,” alisema mmoja wa wabunge waliohudhuria depo hiyo (jina tunalo) kisha akaongeza: “Mfano mimi ningeambiwa kule kuna kupima ukimwi hata nisingeenda, nilikuwa sijapima kama miaka saba, dah kule ni hatari.”
Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee, akinyolewa nywele.
KUHUSU VIPARA
Mbunge mwingine alisema: “Walichotuweza ni ile tunaripoti tu, tunanyolewa vipara halafu ndiyo taratibu nyingine zinafuata. Kama wangekuwa wanatuonesha picha ya kile kitakachofanyika kabla ya kutunyoa, wengi wetu tungetimka mapema.
“Tatizo unanyolewa halafu ndiyo unapelekwa kupimwa ukimwi, sasa ukikataa kupima na una kipara chako, mtaani utarudi vipi? Hata kunyoa, wengine tuliingia na rasta, lakini wakatupiga upara wa wembe harakaharaka bila hata kungoja kuzifumua.”
...Wakiwa mazoezini.
MAFUNZO YANA FAIDA?
Mbunge wa Viti Maalum kwa tiketi ya Umoja wa Vijana wa CCM, Mkoa wa Mara, Ester Bulaya, alisema kuwa anashukuru kupata mafunzo ya kijeshi, kwani yamemjenga kwa kiasi kikubwa.
“Japo ni kazi lakini tunatamani muda uongezwe, maana wiki tatu zilikuwa fupi, program ni nyingi, kwa hiyo tukatakiwa kufanya kwa pamoja,” alisema Bulaya kisha akaongeza: “Imenijenga kweli, najiona mkakamavu mwenye uwezo zaidi wa kutumikia wananchi.”
Kwa upande wa Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee, alisema: “Natamani kila mtu awe anapitia mafunzo ya JKT, maana siyo tu yanakujenga kiukakamavu, bali pia yanakupa uzalendo na ari ya kuwatumikia wananchi.”
...Wakiwa katika picha ya pozi.

R.I.P BROTHER:MAZISHI YA MWANANCHUO ALIYESOMA UDOM ''FRANK CHAULA'' (BA-ECONOMICS) YANAFANYIKA KESHO TAREHE 10/04/2013


 
Marehemu Frank Chaula enzi za uhai wake

Alikukuwa  amemaliza shahada ya kwanza ya UCHUMI katika  CHUO KIKUU CHA DODOMA mwaka 2011/12. Baada ya kumaliza chuo alipata kazi katika benki ya AccessBank Tanzania Limited kitengo cha Loans Officer lakini ndoto yake ilikuwa bado akaamua kwenda kujiunga na JKT ambapo alipangiwa kwenda kushiriki mafunzo ya jeshi huko Tabora na ndipo mauti yalipomkuta. 
Kufuatana na msiba wa ndugu yetu  pendwa FRANK/GOD CHAULA ukiwa kama classmate/Rafiki/Ndugu/Schoolmate unaweza kutuma rambirambi yako kupitia M-PESA YA JORAM KIBONA 0752494763 AU KWA TIGO PESA 0712867869 YA GABRIEL ULAYA na pia mazishi yanatarajia kufanyika kesho tarehe 10/04/2013  katiaka kijiji cha Ilembo kata ya Vwawa, Wilaya Mbozi, mkoani Mbeya.

Kiukweli kama mimi mpaka sasa siamini kama Frank Chaula ametutoka maana nakumbuka mwezi wa pili niliwasiliananae akaniambia yuko benki ila ndoto yake anataka kuwa mwanajeshi. Na pia nimesoma naye couse za uchumi.
 

Kama unataka kumjua zaidi bofya hapa

Uongozi wa PAMOJAPURE BLOG unaungana na familia ya marehemu Katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wao FRANK CHAULA
 
Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina lake Lihimidiwe.

R.I.P BROTHER:MAZISHI YA MWANANCHUO ALIYESOMA UDOM ''FRANK CHAULA'' (BA-ECONOMICS) YANAFANYIKA KESHO TAREHE 10/04/2013


 
Marehemu Frank Chaula enzi za uhai wake

Alikukuwa  amemaliza shahada ya kwanza ya UCHUMI katika  CHUO KIKUU CHA DODOMA mwaka 2011/12. Baada ya kumaliza chuo alipata kazi katika benki ya AccessBank Tanzania Limited kitengo cha Loans Officer lakini ndoto yake ilikuwa bado akaamua kwenda kujiunga na JKT ambapo alipangiwa kwenda kushiriki mafunzo ya jeshi huko Tabora na ndipo mauti yalipomkuta. 
Kufuatana na msiba wa ndugu yetu  pendwa FRANK/GOD CHAULA ukiwa kama classmate/Rafiki/Ndugu/Schoolmate unaweza kutuma rambirambi yako kupitia M-PESA YA JORAM KIBONA 0752494763 AU KWA TIGO PESA 0712867869 YA GABRIEL ULAYA na pia mazishi yanatarajia kufanyika kesho tarehe 10/04/2013  katiaka kijiji cha Ilembo kata ya Vwawa, Wilaya Mbozi, mkoani Mbeya.

Kiukweli kama mimi mpaka sasa siamini kama Frank Chaula ametutoka maana nakumbuka mwezi wa pili niliwasiliananae akaniambia yuko benki ila ndoto yake anataka kuwa mwanajeshi. Na pia nimesoma naye couse za uchumi.
 

Kama unataka kumjua zaidi bofya hapa

Uongozi wa PAMOJAPURE BLOG unaungana na familia ya marehemu Katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wao FRANK CHAULA
 
Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina lake Lihimidiwe.

Monday 8 April 2013

RAIS KIKWETE AWASILI NAIROBI KENYA KUSHUHUDIA KUAPISHWA KWA RAIS UHURU KENYATTA




Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete wakilakiwa kwa heshima zote baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi tayari kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Nne wa Kenya Mhe Uhuru Muigai Kenyatta na Naibu Rais wake Mhe William Ruto katika uwanja wa michezo wa Kasarani kesho April 9, 2013
Picture
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete wakipokea maua mara baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi tayari kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Nne wa Kenya Mhe Uhuru Muigai Kenyatta na Naibu Rais wake Mhe William Ruto katika uwanja wa michezo wa Kasarani kesho April 9, 2013
Picture
Picture
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete na Balozi wa Tanzania nchini Kenya Dkt Batilda Burian wakipiga picha ya pamoja na wasichana waliowazawadia mashada ya maua mara baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi tayari kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Nne wa Kenya Mhe Uhuru Muigai Kenyatta na Naibu Rais wake Mhe William Ruto katika uwanja wa michezo wa Kasarani kesho April 9, 2013
Picture
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini kitabu cha wageni baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi tayari kuhudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Nne wa Kenya Mhe Uhuru Muigai Kenyatta na Naibu Rais wake Mhe William Ruto katika uwanja wa michezo wa Kasarani kesho April 9, 2013. Mama Salma Kikwete na Balozi wa Tanzania nchini Kenya Dkt Batilda Burian wamesimama pembeni na wenyeji wao (picha zote na IKULU)

VIDEO YA MAGOLI YOTE YA MAN U VS MAN CITY APRIL 8 2013


1
.

MAGAZETI YA LEO APRIL 9 2013


.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.