YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Sunday 24 August 2014

HIVI NDIVYO KHALID CHOKORAA ALIVYOKUTWA NA PESA BANDIA


Miongoni mwa waimbaji wa muziki wa bendi ambao miezi michache iliyopita alibadilisha headline mbalimbali baada ya kuingia kwenye ulimwengu wa ngumi za kulipwa kwa Tanzania.


Inasemekana amekamatwa na hizo ambazo ni bandia na baada ya kuhojiwa amekiri kuwa ni yake lakini nae kadai amepewa na mtu asiyemfahamu,kaongea na Soudy Brown.
88.0 Clouds Fm inasikika ukiwa Tabora
Bonyeza play kusikiliza.

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg