YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Sunday 24 August 2014

HUYU NDIE MWANAMKE MWINGINE AUAWA KWA KUPIGWA RISASI JANA HUKO NJIRO ARUSHA


KUNANI ARUSHA?! Baada ya jana mtoto kuuawa kwa kupigwa risasi huko Arusha. Mwanamke mwingine amepigwa risasi na kuuawa leo hii (Jumamosi) alasiri huko Njiro, Arusha. Taarifa za awali zinaarifu ya kuwa mwanamke huyo alikuwa anashuka kwenye gari yake ghafla wakaja jamaa wa pikipiki wakamshambulia kwa risasi na kukimbia...!
Taarifa zaidi zitawajia kadri tutakavyozipata

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg