YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Tuesday 7 August 2018

ASKOFU KILAINI ATAKA USHIRIKIANO KWA MAENDELEO YA KAGERA

Kupitia hafla iliyofanyika ya makabidhiano ya ofisi kati ya Mkuu wa mkoa mstaafu na mkuu wa mkoa mpya Kagrera wamealikwa Viongozi mbalimbali wakiwemo viongozi wa madhebu ya Dini.
Kati ya viongozi hao alikuwemo Askofu Methodius Kilaini ambaye ni Askofu msaidizi wa jimbo Katoliki la Bukoba na amesema kuwa kabla ya ujio wa mkuu mpya wa mkoa viongozi wa madhehebu yote mkoa wa Kagera walikaa na kujadiliana jinsi watakavyofanya kazi na mkuu huyo ili kuhakikisha mkoa unasonga mbele kimaendeleo.
Mjeshi kakabidhiwa Ofisi, mambo matatu makubwa atakayoanza nayo

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg