YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Friday 10 August 2018

JINSI DIRISHA LA USAJILI LILIVYOFUNGWA ENGLAND

Yerry Mina, Andre-Frank Anguissa, Caglar Soyuncu

Image captionYerry Mina, Andre-Frank Anguissa, Caglar Soyuncu
Dirisha kuu la uhamisho wa wachezaji England lilifungwa mnamo Alhamisi 9 Agosti saa moja saa Afrika Mashariki (ambazo ni saa kumi na moja England - 17.00BST), mwaka huu soko likifungwa mapema kuliko misimu ya awali.
Klabu zinazocheza ligi nyingine England na Wales, miongoni mwake ligi za Championship, League One na League Two bado zinaweza kuendelea kuwanunua wachezaji hadi mwisho wa mwezi huu.
Soko la kuhama wachezaji Scotland pia litafungwa 31 Agosti sawa na katika mataifa mengine Ulaya.
Siku ya mwisho, nani alihama?
Presentational grey line

9 Agosti

Ligi Kuu ya England
* saa ni wakati (kwa BST) uhamisho ulipotangazwa na klabu
20:30 Danny Ings [Liverpool - Southampton] Mkopo
20:20 Andre-Frank Zambo Anguissa [Marseille - Fulham] £22.3m
20:20 Timothy Fosu-Mensah [Manchester United - Fulham] Mkopo
20:02 Andre Gomes [Barcelona - Everton] Mkopo
20:02 Yerry Mina [Barcelona - Everton] £27.19m
19:21 Domingos Quina [West Ham - Watford] Ada Haijafichuliwa
19:01 Luciano Vietto [Atletico Madrid - Fulham] Mkopo
18:59 Martin Montoya [Valencia - Brighton] Ada Haijafichuliwa
18:35 Federico Fernandez [Swansea - Newcastle] iliripotiwa kuwa £6m
18:30 Harry Arter [Bournemouth - Cardiff] Mkopo
18:00 Caglar Soyuncu [Freiburg - Leicester] iliripotiwa kuwa £19m
18:00 Jordan Ayew [Swansea - Crystal Palace] Mkopo
17:40 Joe Bryan [Bristol City - Fulham] £6m
17:18 Sergio Rico [Sevilla - Fulham] Mkopo
17:15 Peter Gwargis [Jonkopings Sodra IF - Brighton] Ada Haijafichuliwa
17:01 Isaac Mbenza [Montpellier - Huddersfield] Mkopo
17:00 Carlos Sanchez [Fiorentina - West Ham] Ada Haijafichuliwa
16:59 Dan Burn [Wigan - Brighton] Ada Haijafichuliwa*
*Burn atarejea Wigan kwa Mkopo hadi Januari 2019
16:50 Bernard [Shakhtar Donetsk - Everton] Bila Ada
14:30 Leander Dendoncker [Anderlecht - Wolves] Mkopo
13:00 Victor Camarasa [Real Betis - Cardiff] Mkopo
10:45 Filip Benkovic [Dinamo Zagreb - Leicester] Ada Haijafichuliwa
10.31 Lucas Perez [Arsenal - West Ham] Ada Haijafichuliwa
10:02 Mateo Kovacic [Real Madrid - Chelsea] Mkopo
08:06 Daniel Arzani [Melbourne City - Manchester City] Ada Haijafichuliwa

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg