YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Tuesday 12 March 2013

HUYU NDIO MTOTO WA MIAKA NANE ALIYEOA 'BIBI' WA MIAKA 61



Huyu ndiyo mtoto wa miaka 8 kutoka Afrika Kusini ambaye ameoa mwanamke mwenye umri wa miaka 61 kwa kile ambacho kimeelezwa kuwa ni kutimiza maagizo ya wazee wake ambao wamekwishatangulia mbele za haki.
Sanele Masilela na mkewe Helen Shabangu
Sanele akimpiga busu mkewe Helen
Wanandoa katika picha ya pamoja

Shamrashamra za Harusi
Bibi akimchum mumewe

Ndoa ikifungwa

 Familia ya mtoto huyu imelipa mahari ya dola 774.85 sawa na shilingi 1,257,969/- za kitanzania.

Kijana huyu ambaye amefahamika kwa jina la Sanele Masilela amemuoa Helen Shabangu ambaye tayari yupo ndani ya ndoa nyingine na ana watoto watano.

Mtoto huyu pamoja na familia yake wamefikia maamuzi haya baada ya kuogopa kupatwa na balaa kwa kutokutimiza masharti ya 'waliotangulia'.

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg