YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Saturday 15 June 2013

BREAKING NEWS......! WATU SABA WAMEJERUHIWA VIBAYA BAADA YA BOMU KULIPUKA HUKO ARUSHA





6510_197909020362132_1935330081_n
Takriban watu saba wamejeruhiwa na kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu, kilicholipuka eneo la Soweto, jijini Arusha, ambako mkutano wa CHADEMA ulikuwa ukifanyika. Tukio hili limetokea muda mfupi tu baada ya mwenyekiti wa CHADEMA, kumaliza kuhutubia wananchi waliokuwa kwenye eneo hilo na inasemekana Watu 6 Wamepoteza Maisha Na Wengine Kujeruhiwa,,

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg