YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Sunday 9 June 2013

DAKTARI ASAHAU PAMBA TUMBONI KWA MAMA ALIYEJIFUNGUA KWA UPASUAJI:MKASA MZIMA HUU HAPA:

Sunday, 9 June 2013



 


Msichana mmoja kutoka kaunti ya bungoma sasa anataka hatua zichukuliwe dhidi ya daktari mmoja kwa kuhatarisha maisha yake. Maureen Khaemba alifika hospitali kuu ya bungoma kujifungua, lakini baada ya upasuaji, daktari alisahau pamba tumboni mwake....hali ambayo imemsababishia maumivu chungu zima. Beatrice Maganga na taarifa hiyo

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg