YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Friday 12 October 2012

ENEO DOGO ASLAY ANAPOWASAIDIA WAZAZI WAKE KUJENGA NYUMBA.


3
Staaa wa bongofleva ambae wengi tulimfahamu kupitia single ya ‘naenda kusema kwa mama’ dogo Aslay ndio anasaidia kuwajengea wazazi nyumba hapa Gongo la mboto Dar es salaam.
.
Pesa aliyoitoa Aslay ndio imenunulia haya matofali ambapo mara ya mwisho kuongea na Aslay aliniambia alikua ametoa zaidi ya shilingi laki nane kwa ajili ya huo ujenzi, yani kila anapopata pesa za show kidogo anakimbiza nyumbani kwao huku yeye akiendelea na masomo.
Interview na mama Aslay.
Hii ndio nyumba wanayoishi wazazi wake Aslay Gongo la mboto Dar es salaam, wamepanga na ina chumba kidogo na sebule na wanailipia elfu 20 kwa mwezi.
Aslay.

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg