YOUR MOST FAVORITE BLOG.

YOUR MOST FAVORITE  BLOG.
Calvin

Monday 8 October 2012

YANGA WALIPOLAMBISHWA SUKARI NA KAGERA MJINI BUKOBA


PHOTOS:

 Ligi kuu ya Tanzania Bara imeendelea hii leo katika uwanja wa kaitaba Mjini Bukoba ambapo timu ya Yanga imeambulia kichapo cha bao 1-0 Kutoka kwa wakata miwa wa Kagera Sugar. (Picha kwa hisani ya bukobawadau blog))
 Mfungaji wa bao la  Kagera Sugar Temmy Alphonce pichani kulia.
Bao la Kagera Sugar limepatikana dk ya 40 kipindi cha pili cha mchezo, Bao hilo limefungwa na mchezaji mahiri mzaliwa wa Kimbugu Muleba Temmy Alfonce.
 Kocha wa Kagera Abdallah King Kibadeni




 Benchi la wachezaji wa timu ya Yanga katika hali ya sintofahamu
 Safu imara ya Kagera Sugar ikiongozwa na goli kipa Andrew Ntalla na walinzi wake wa karibu kama Juma Nade na Kanoni Salim wanastahili pongezi.
 Hekaheka  kuelekea langoni mwa Yanga.
 Mchezaji wa Yanga Said Bahanzi aumia  vibaya baada ya kuangka mnamo dakika ya 22 kipindi cha kwanza cha mchezo.

 Bahanzi akipata matibaba kabla ya nafasi yake kuchukuliwa na  Jeryson Tegete
 Jeryson Tegete akijiandaa kuingia uwanjani
Wachezaji wa Kagera Sugar wakielekea mapumziko baada ya dakika 45 za kipindi cha kwanza.
 Sehemu ya mashabiki wa Kagera Sugar Jukwaani
 Wadau wa soka na habari  kutoka Kasibante Fm Radio
 Kamisaa wa mchezo
 Waandishi wa habari
 Sehemu ya mashabiki wa soka Jukwaa la mchanganyiko

No comments:

Post a Comment

gfjythfghgfhdfgergdfgbvdfgrfdgdfrgdrgdfrgrdegedrgdrfg